Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 402
Ni uchokonozi tu! Lakini nashindwa hata kufikiria manake pamoja na kuwepo kwa ukimwi, bado ngono inafanywa tena 'ngono zembe' waziwazi tena kwa sana kana kwamba haupo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gosbert hebu rekebisha hiyo title kwanza halafu nitarudi
Nimeshindwa kurekebisha.
Watu wangeogopa Mimba tu!
Kuna mtoto mmoja mzuri acha kabisa kule Arusha nilimla kwa k.on.d.om, iliniuma sana huu ukimwi ulinyima raha full, nauchukia sana. Halafu demu mwenyewe alikuwa hana neno!
Ukimwi usingekuwepo ingekuwa raha zaidi coz kondom ni karaha tu, zinatunyima raha.