Hivi usipokwenda jkt itakuwaje?


mhh..nitafkiria but sidhani kama nitakwenda..nchi yenyewe hii..nimezaliwa tu hapa ila siipendi tanzania..watu wanaiendesha wanavyojua wao..
 
Flyn ryder pamoja na madudu mengi yanayotokana na nchi kukosa uongozi shupavu ila sio busara kuvunjika moyo mapema namna hiyo...Unakotamani kuna wenzio wanatamani ulipotoka,dawa ni mimi na wewe kusimama imara na baada ya kiza kuondoka tutarudishiwa nchi yetu,Nchi inayothamini utu na mshikamano wa watu wake na kuanzia hapo hata vijana wanaochipukia wataitazama Tanzania yenye kutia moyo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…