Hivi utaanzaje!!

Nguvu moja

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2017
Posts
3,371
Reaction score
2,713
Kulala fofofoo kwenye chumba/geto la
Demu watu wengine kifo wanajitakia!
 
Utaanza kwa kuvua viatu, then shati alfu suruali, mwisho una lala fofo ndo jinsi ya kuanza hvyo. Na mada zako zisizo eleweka
 
Jiamini tu siku hiyo hiyo ya kwanza nalalaaaa. Bora nifukunyue uvunguni kuhakiki hakuna kiatu au ndala kubwa zaidi ya namba 8. Chini ya hapo, atakayegonga namfungulia mimi
 
Mi nishalala sana tena temeke uswazi huko
 
Wanaume wana roho ngumu mbele ya papuchi sana.
Hata Mimi geto la mwanaume siwezi kwenda labda tuwe wachumba tena wa kutambuana kwa wazazi.
Kisa cha kuja kunyolewa nywele na chupa ni nini?
Watu wanatimba mpk nyumbani kwa demu, baba yupo na mama yupo na papuchi inaliwa, sembuse gheto?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…