Hivi utaanzaje!!

Kwanza mwanaume unaanzaje kwenda kulala nyumbani kwa mwanamke wakati sio mke au mchumba wako mambo mengine ni kujidharilisha
 
Mbele ya ile kitu, akili huwa inakuja baadae sana, unaanza kujiuliza nimefanya nn, sitarudia tena.
 
Acha zako wewe

Gheto unaenda unaliwa na mashuka unafua
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…