DeMostAdmired
JF-Expert Member
- Oct 7, 2017
- 1,579
- 3,798
Habari zenu wanaJF
Naomba msaada hapa.
Kuna rafiki yangu ana ofisi ya kutoa huduma za wakala wa fedha, kama m-pesa, halopesa na tigopesa.
Sasa anabinti amemuajili pale, jana Binti katapeliwa lakini kwa jinsi anavoelezea na kama huu utapeli una uchawi ndani yake.
Yani kuna binti mdogo kwa maelezo yake ni kama wa miaka 18-22.
Anadai kwamba huyo binti alifika pale ofisini akamsalimia yule mtoa huduma na baada ya hapo akamuomba pesa, yule mhudumu akamuliza shingap tapeli akajibu laki tano yule binti bila kupinga na kiulaini kazama kwenye droo katoa pesa tapeli kapokea akaamsha.
Baada ya muda kidogo ndo mhudumu akapata fahamu akagundua kuwa katapeliwa.
Naomba msaada hapa.
Kuna rafiki yangu ana ofisi ya kutoa huduma za wakala wa fedha, kama m-pesa, halopesa na tigopesa.
Sasa anabinti amemuajili pale, jana Binti katapeliwa lakini kwa jinsi anavoelezea na kama huu utapeli una uchawi ndani yake.
Yani kuna binti mdogo kwa maelezo yake ni kama wa miaka 18-22.
Anadai kwamba huyo binti alifika pale ofisini akamsalimia yule mtoa huduma na baada ya hapo akamuomba pesa, yule mhudumu akamuliza shingap tapeli akajibu laki tano yule binti bila kupinga na kiulaini kazama kwenye droo katoa pesa tapeli kapokea akaamsha.
Baada ya muda kidogo ndo mhudumu akapata fahamu akagundua kuwa katapeliwa.