Ngurukia
JF-Expert Member
- Feb 25, 2023
- 4,407
- 16,942
Mnapeane connection za wataalam tu.Ukiwa na boss anaamini uchawi raha sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnapeane connection za wataalam tu.Ukiwa na boss anaamini uchawi raha sana
Kuomba maji sio ishu...ishu ni kunyimwa😂😂😂Nimeona, expect ujumbe wangu nikishaipata kwa ajili ya majaribio.
Uje tayari tayari kupumbazwa na scopolamine😂😂
Scopolamine mixer mkongo, lazima uombe maji.
Amna mzee, ukipata loss unamwambia ni chuma ulete. Case closedMnapeane connection za wataalam tu.
Mimi sina roho mbaya nakupa mma kiroho safi.Kuomba maji sio ishu...ishu ni kunyimwa😂😂😂
Ww sio mchoyo😂Mimi sina roho mbaya nakupa mma kiroho safi.
Maelezo hayaoneshi Utapeli. Aliombwa pesa akatoa. We ukiombwq pesa ni Utapeli?Habari zenu wanaJF
Naomba msaada hapa.
Kuna rafiki yangu ana ofisi ya kutoa huduma za wakala wa fedha, kama m-pesa, halopesa na tigopesa.
Sasa anabinti amemuajili pale, jana Binti katapeliwa lakini kwa jinsi anavoelezea na kama huu utapeli una uchawi ndani yake.
Yani kuna binti mdogo kwa maelezo yake ni kama wa miaka 18-22.
Anadai kwamba huyo binti alifika pale ofisini akamsalimia yule mtoa huduma na baada ya hapo akamuomba pesa, yule mhudumu akamuliza shingap tapeli akajibu laki tano yule binti bila kupinga na kiulaini kazama kwenye droo katoa pesa tapeli kapokea akaamsha.
Baada ya muda kidogo ndo mhudumu akapata fahamu akagundua kuwa katapeliwa.
Na kisimi chake kiminywe pia.Tapeli ni huyo alietoa laki 5. Amminye chuchu atasema kweli.
Kabisa. Mkarimu tu.Ww sio mchoyo😂
Amemuajili = amemuajiri.Habari zenu wanaJF
Naomba msaada hapa.
Kuna rafiki yangu ana ofisi ya kutoa huduma za wakala wa fedha, kama m-pesa, halopesa na tigopesa.
Sasa anabinti amemuajili pale, jana Binti katapeliwa lakini kwa jinsi anavoelezea na kama huu utapeli una uchawi ndani yake.
Yani kuna binti mdogo kwa maelezo yake ni kama wa miaka 18-22.
Anadai kwamba huyo binti alifika pale ofisini akamsalimia yule mtoa huduma na baada ya hapo akamuomba pesa, yule mhudumu akamuliza shingap tapeli akajibu laki tano yule binti bila kupinga na kiulaini kazama kwenye droo katoa pesa tapeli kapokea akaamsha.
Baada ya muda kidogo ndo mhudumu akapata fahamu akagundua kuwa katapeliwa.
So unapulizia au?WaTZ mnaamini kila kitu uchawi. Kuna dawa inahusika inaitwa Scopolamine aka devil's breath. Inaadhiri sehemu moja ya ubongo ila unabaki conscious kupokea amri na kutekeleza. Unaweza ukaambatana na mtu hadi atm machine, ukaweka pin, ukatoa hela na kumpa huyo aliyekupulizia. Huku Nairobi inatumika sana na matapeli. Mtaenda naye hadi nyumbani kwako, umsaidie kupaki vitu vyote aondoke navyo. Senses zako zitarudi baada ya masaa kadhaa. Tafuta Scopolamine kwenye Google
Wamejaribu kumuuliza Mwamposa?Habari zenu wanaJF
Naomba msaada hapa.
Kuna rafiki yangu ana ofisi ya kutoa huduma za wakala wa fedha, kama m-pesa, halopesa na tigopesa.
Sasa anabinti amemuajili pale, jana Binti katapeliwa lakini kwa jinsi anavoelezea na kama huu utapeli una uchawi ndani yake.
Yani kuna binti mdogo kwa maelezo yake ni kama wa miaka 18-22.
Anadai kwamba huyo binti alifika pale ofisini akamsalimia yule mtoa huduma na baada ya hapo akamuomba pesa, yule mhudumu akamuliza shingap tapeli akajibu laki tano yule binti bila kupinga na kiulaini kazama kwenye droo katoa pesa tapeli kapokea akaamsha.
Baada ya muda kidogo ndo mhudumu akapata fahamu akagundua kuwa katapeliwa.
Ushauri murua.Hayo mambo yapo na amini huwa yanaumiza mno maana linavyotokea na kuisha ni hata we unakuwa hujitambui ila ni muhimu sana kufanya Sala na maombi kabla ya kufungua biashara na baada ya kufunga biashara