Afrolink-Tz Consult Ltd
JF-Expert Member
- Feb 25, 2018
- 424
- 950
Kama flemu ni yako ina maana ipo ktk eneo lako la nyumba. Hivyo basi unapoenda kulipa nenda na ile fomu ya malipo pamoja na risiti ya malipo ya kodi ya jengo ie property tax. Watajiridhisha na iwapo ulikuwa hujalipa basi utaambiwa ulipe kodi ya majengo lkn hakutakuwa na "withholding tax" wala "stamp duty"!Mkuu kama Flem au jengo ni lako inakuaje hapo kwenye mkataba wa pango?