Hivi Utopolo kula ugali kwa sukari kumewasaidia nini??

Hivi Utopolo kula ugali kwa sukari kumewasaidia nini??

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Wale Jamaa pale Kwa Mnyamani na li ugali lao kuuubwa walilopika na kula kwa sukari. Wamepata faida gani kimpira zaidi ya kula ugali wakiwa gongo wazi??

Manara aliwahi kusema kuwa Yanga kuna watu wawili tu wenye akili (hata yeye hana), yaani baba yake mzazi na Mzee Jakaya.
 
Jaribu na wewe kula ili uwe na akili kama za huyo mwanzilishi.
 
Back
Top Bottom