Hivi uwepo wa maafisa wa Ikulu wenye asili ya Rwanda na Burundi si tatizo kwa usalama?

Hivi uwepo wa maafisa wa Ikulu wenye asili ya Rwanda na Burundi si tatizo kwa usalama?

Usiwe na hofu idara husika iko makini, (swala hapa sio wapi mtu anatoka ni nini anafanya hasa kwa mambo yenye kugusa usalama na maslahi ya taifa) mtanzania akifanya ovyo atatambuliwa mapema tu,poa na tuliza moyo things in control
 
Ramadhani Dau ni Mnubi ndio maana anagawana na wahuni wenzie mali za NSSF...wamanyema tangu mwanzo hawajawa watanzania ndio maana walikuw ana msikiti wao, wauza watumwa na uchawi..leo hii ndio wanaogawana nchi...na kila kitu wanakiita ni sawa.
.

Unahusisha vipi UNUBI na UMANYEMA?!! Wanubi ni watu wenye asili ya Juba,Sudan ya kusini na Wamanyema ni wenyeji wa Kigoma wenye asili ya DRC.
Je ulishawahi kusoma historia ili walau kujua wanubi walifikaje nchi hii na waliingia mwaka gani?
 
.Unahusisha vipi UNUBI na UMANYEMA?!! Wanubi ni watu wenye asili ya Juba,Sudan ya kusini na Wamanyema ni wenyeji wa Kigoma wenye asili ya DRC.Je ulishawahi kusoma historia ili walau kujua wanubi walifikaje nchi hii na waliingia mwaka gani?
Mbona unaongea kila kitu km hujui unataka fikia malengo gani?Sasa nikikuambia hisoria kutasema vipi kwamba IKULU imejipanda na matishio yoyote ya watu wanaoweza fanya kazi kwa serikali za asili yao.
 
Hii chi tukiendelea namna hii tutapigana mapanga sasa hvi, hizi nyie vijana wa CHADEMA mnasimama kabisa na kutangaza ubaguzi wa aina hii, ina maana mtu kama anatoka kigoma, kagera au katavi hasitahili kufanya kazi ikulu kisa anatokea mpakani?

Samahani kwa kutumia lgha kali lakini tunaelekea kubaya, mwanzisha mada angalia nafasi yako kwenye CHADEMA na heshimu umoja wa watanzania vinginevyo nitaanza kuamini kuwa CHADEMA ni wakabila maana nikikuona ww naona mwongozo wa CHADEMA nategemea uweze kusimamia vitu vinavyoleta tja kwenye taifa, post kama hii haishushi adhi yako tu bali inashusha hadhi ya chama chako na kukatisha tamaa wapenda mabadiliko wanaofikiri CHADEMA ni sehemu ya kukimbilia

Unafanya watu waamini kuwa Zito hakuwa na matatizo ila kwa kuwa alikuwa anatokea kigoma ndio maana mkaamua kumfukuza, sasa ofisi za CHADEMA kwenye mikoa hiyo wanachama zinapata wapi au wanachama wenu ni wachaga tu walioko kwenye hiyo mikoa?

wewe ndio mwenye chuki hata kuliko aliyeandika andiko hili.aliyekuambia mwandishi ni mwanachadema ni nani??!
 
Ulichoshindwa soma ..hadi ukawa km trojan horse..ni kwamba.Km Rais alikuwa si mchaga ila wachaga wakatawala...sijui unajisifu nini sasa km wachaga hawatatawala bila kuwa na mchaga.Mwenyewe umekiri kuwa wachaga hawahitaji sana kuwa rais mchaga.Wala kuwa vibaraka wa Ikulu. Ulichoandika hapa ni wazi unajua kuwa watarudi na wapo..ndio maana umeanza jifikirisha kuwa enzi zimepita na unatamani zisirudi..nilidhani hata unasema kuwa walishawahi kuwa na rais ..hatatakaa tena wampate..teh teh..ujinga sijui mmerithi wapi wa namna hii..yaani kuna millions of ways ya kuwatumikisha nyie. Wachaga kwa taarifa yako hawafanyi mambo ya kufikirika...ndio wapo certain kuwa wanakwenda hadi ktk mazindiko yenu na chuki zenu,ila wanapiga bao kati yenu.

Mnyweshe dawa apone mjinga huyo....aliyemwambia wachaga wanafanya kazi za unyapara nani?wachaga wanajua wanachohitaji na wanauwezo wa kuchagua aina ya maisha ya kuishi na sio ya kubahatisha
 
wewe ndio mwenye chuki hata kuliko aliyeandika andiko hili.aliyekuambia mwandishi ni mwanachadema ni nani??!

Mkuu iku nyingine usikurupuke tafuta profile za watu kabla ya kuonyesha ni kiasi gani ni mvivu wa kusoma
 
Mkuu iku nyingine usikurupuke tafuta profile za watu kabla ya kuonyesha ni kiasi gani ni mvivu wa kusoma

Sihitaji kujua profile yake kwenye hii thread.pia hapa tunaongelea issues na sio mtu so unaonyesha ni kwa kiasi gani una uwezo mdogo wa kufikiri.unakuwa kama unatumia nanihii kufikiri bana
 
Mtoa mada mbona hujaeleweka, kufanana kwa watu au kuingiliana na watu ni sehemu ya kawaida, cha kwanza kabla hujaandika ungefatilia kwanza historia, wakoloni waligawa vibaya sana mipaka so ulikuta baadhi ya koo zinaenda nchi nyingine wengine wanabaki huku, swali ni kwamba kwa nini uwe na wasisi na watumkutoka Kigoma, Kgera, kwanini isiwe wachaga, wamasai,makonde. au ndo zile Tabia zenu za kukuza ukabila.
 
Hii chi tukiendelea namna hii tutapigana mapanga sasa hvi, hizi nyie vijana wa CHADEMA mnasimama kabisa na kutangaza ubaguzi wa aina hii, ina maana mtu kama anatoka kigoma, kagera au katavi hasitahili kufanya kazi ikulu kisa anatokea mpakani?

Samahani kwa kutumia lgha kali lakini tunaelekea kubaya, mwanzisha mada angalia nafasi yako kwenye CHADEMA na heshimu umoja wa watanzania vinginevyo nitaanza kuamini kuwa CHADEMA ni wakabila maana nikikuona ww naona mwongozo wa CHADEMA nategemea uweze kusimamia vitu vinavyoleta tja kwenye taifa, post kama hii haishushi adhi yako tu bali inashusha hadhi ya chama chako na kukatisha tamaa wapenda mabadiliko wanaofikiri CHADEMA ni sehemu ya kukimbilia

Unafanya watu waamini kuwa Zito hakuwa na matatizo ila kwa kuwa alikuwa anatokea kigoma ndio maana mkaamua kumfukuza, sasa ofisi za CHADEMA kwenye mikoa hiyo wanachama zinapata wapi au wanachama wenu ni wachaga tu walioko kwenye hiyo mikoa?
Aksante kaka Kwa Kuniturahisishia KAZI Na kuokoa Muda Kwa Kumuweka Wazi Mleta Mada nilitaka kumjibu baada kuona hii post yako nakugundua kumbe ndio hao!! Tulisha wajua
 
Back
Top Bottom