Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Aliyesuluhu na Simba alikuwa Kakolanya , siyo Zahera .msimu uliopita alisuluhu na simba
uzuri wake ni nini ? ni vema ukafafanua ili tujiridhishe kwamba hujapuliziwa vumbi la Congo .Acheni Upumbavu ninyi, Zahera anafanya kazi Yanga katika Mazingira Magumu
Kule kuiwezesha timu kushika nafasi ya pili na Almanusura ya Kutwaa Ubingwa
Mnafikiri ni Kazi ya Kitoto? Bila shaka haya majungu yameanza mapema kuna
kinachoogopwa, BADO NINA IMANI SANA NA ZAHERA..... TUACHIENI KOCHA
WETU.
Kushika nafasi ya Pili ligi Kuu TPL.uzuri wake ni nini ? ni vema ukafafanua ili tujiridhishe kwamba hujapuliziwa vumbi la Congo .
Hilo ndilo lengo la Yanga kushiriki ligi kuu ? halafu mbona Jack Chamangwana alibeba hadi ubingwa lakini hakuwahi kusifiwa kama huyu anayeshika nafasi ya pili ? hapa kuna kitu .Kushika nafasi ya Pili ligi Kuu TPL.
Ndiyo maana nimekuambia angalia kaikuta Yanga kwenye mazingira gani? AuHilo ndilo lengo la Yanga kushiriki ligi kuu ? halafu mbona Jack Chamangwana alibeba hadi ubingwa lakini hakuwahi kusifiwa kama huyu anayeshika nafasi ya pili ? hapa kuna kitu .
George Lwandamina ni coach wa viwango .Wacha kumlinganisha na huyo mpiga kelele.Lwandamina ametwaa ubingwa na ZescoNdiyo maana nimekuambia angalia kaikuta Yanga kwenye mazingira gani? Au
Ulitaka tuendelee kubaki na LWANDAMINA?
Alisikika mlevi mmoja akisemaAcheni Upumbavu ninyi, Zahera anafanya kazi Yanga katika Mazingira Magumu
Kule kuiwezesha timu kushika nafasi ya pili na Almanusura ya Kutwaa Ubingwa
Mnafikiri ni Kazi ya Kitoto? Bila shaka haya majungu yameanza mapema kuna
kinachoogopwa, BADO NINA IMANI SANA NA ZAHERA..... TUACHIENI KOCHA
WETU.
Ndiyo maana nimekuambia angalia kaikuta Yanga kwenye mazingira gani? Au
Ulitaka tuendelee kubaki na LWANDAMINA?