Hivi uzuri wa kocha wa Yanga Mwinyi Zahera ni upi ?

Hivi uzuri wa kocha wa Yanga Mwinyi Zahera ni upi ?

George Lwandamina ni coach wa viwango .Wacha kumlinganisha na huyo mpiga kelele.Lwandamina ametwaa ubingwa na Zesco
Zesco ni mabingwa wa Zambia. Na mtakutana nao mkishinda dhidi ya Township Rollers.
Bosi wake huyu mpiga kelele amefukuzwa na timu ya Taifa ya Congo kwa matokeo mabaya. Yeye hata hakutajwa.
Dooh mbona reasoning ya hali ya chini sana hii. Mkuu kutrend kwa msemo wa "acha kumlinganisha fulan na vitu vya kijinga" ndo kila sehem unatupia tu!!!?

Mkuu hapo kajenga hoja kiufaham kabisa wa mambo kwamba, coach wa viwango Lwandamina aliikimbia team ikiwa ktk crisis, sasa huoni kama Zahera anastahil credits kwa kuifikisha 2nd runner na almanusra kutwaa 'jagi' na hatmae kushiriki CL!?
 
Timu ya Yanga imewahi kuwa na na Makocha wengi sana wazuri kabisa na walioipa mafanikio makubwa sana timu hii , ikiwemo kubeba vikombe kadhaa lakini hawajawahi kusifiwa kama anavyosifiwa huyu kocha mbovu asiye na mafanikio yoyote aitwaye Mwinyi Zahera , hajawahi hata kubeba kikombe cha kunywea kahawa .

Amewapa nini wanayanga huyu mcongo ? au ni kweli kwamba Wacongo wanatumia ndumba kupumbaza wengine ? Huyu kiuwezo yuko nyuma mno kumlinganisha na Kataraiya Minziro lakini sifa anazopewa hata Man U hawakuwahi kumpa Alex Ferguson .
Sura.
 
Timu ya Yanga imewahi kuwa na na Makocha wengi sana wazuri kabisa na walioipa mafanikio makubwa sana timu hii , ikiwemo kubeba vikombe kadhaa lakini hawajawahi kusifiwa kama anavyosifiwa huyu kocha mbovu asiye na mafanikio yoyote aitwaye Mwinyi Zahera , hajawahi hata kubeba kikombe cha kunywea kahawa .

Amewapa nini wanayanga huyu mcongo ? au ni kweli kwamba Wacongo wanatumia ndumba kupumbaza wengine ? Huyu kiuwezo yuko nyuma mno kumlinganisha na Kataraiya Minziro lakini sifa anazopewa hata Man U hawakuwahi kumpa Alex Ferguson .
Zahera ni kocha wa kiwango cha juu sana kwanza ni bahati tu kufundisha apa Tanzania, Kwanza anaongea ukweli bila kuogopa chochote, kama tatizo ni la timu yake atasema, kama mwamuzi atasema, kama Tff atasema. Anaongea wazi juu ya mapungufu ya timu yake na anaongea wazi juu ya ubora wa timu pinzan. Hapendi uongo na nirahisi kutambua kama unampa sifa ambazo si zake.
Ana tabia za ulaya ambapo kocha ndie msemaji wa maswala yote ya ufundi, Ukweli wake na ufundi wake ndio ulio ipa Yanga nafasi ya pili 18/19.
 
Sawa ameikuta timu kwenye mazingira magumu nasasa je? Bado magumu kama alivyoyakuta hapa kuna kitu nyuma ya pazia sio bure
wewe unaona mazingira rahisi au hukusikia kina Juma Abdul kushindwa kujiunga na mazoezi kwa sababu ya ukata
 
Huwa wanaposema simba ni mbumbumbu basi bila shaka mtoa mada anathibitisha hilo.Sema kwanza ubovu wa zahera ni upi na ndipo uulize ni kwa nini Yanga wanaendelea kumshikilia.sasa unamtuhumu zahera halafu hujaona kosa hata moja kwake.
Kuna mmoja alianzisha uzi kuhusu eti Zahera havai mavazi anayotaka yeye huku alifananisha na wa simba lakin sa simba juzi kaka benchi na jinsi.sasa simba sijui mnakwama wapi?
kama huna cha kuandika sio lazima uandike uzi ili uonekane umeandika.kaa kimya tu maana mpira ni data na fact wewe unaleta umbumbumbu kweli Rage hakukosea.
Kocha yeyote mzuri analeta vikombe , huyu wenu ameleta nini ? timu inacheza hovyo kabisa ! huwezi hata kudhani wanatumia fomesheni yoyote ila !
 
Dooh mbona reasoning ya hali ya chini sana hii. Mkuu kutrend kwa msemo wa "acha kumlinganisha fulan na vitu vya kijinga" ndo kila sehem unatupia tu!!!?

Mkuu hapo kajenga hoja kiufaham kabisa wa mambo kwamba, coach wa viwango Lwandamina aliikimbia team ikiwa ktk crisis, sasa huoni kama Zahera anastahil credits kwa kuifikisha 2nd runner na almanusra kutwaa 'jagi' na hatmae kushiriki CL!?
Hebu weka CV ya Zahera tulinganishe na CV ya Lwandamina. Lwandamina ameshakuwa coach mkuu wa Timu ya Zambia.Amekuwa best coach Zambia 2014 na 2015.Mwaka 2018/19 amechukua ubingwa akiwa na Zesco.
Zahera amechukua ubingwa na timu ipi akiwa kocha?Tiririka mkuu wacha kufuata mkumbo.Hoja dhaifu hujibiwa na hoja thabiti.Kushika nafasi ya pili tena kwa kuzidiwa pointi 7 baada ya kuongoza kwa pointi 21 mkononi sio credit.
 
hawana hela ya kumlipa kocha. zahera anajitolea
 
Hebu weka CV ya Zahera tulinganishe na CV ya Lwandamina. Lwandamina ameshakuwa coach mkuu wa Timu ya Zambia.Amekuwa best coach Zambia 2014 na 2015.Mwaka 2018/19 amechukua ubingwa akiwa na Zesco.
Zahera amechukua ubingwa na timu ipi akiwa kocha?Tiririka mkuu wacha kufuata mkumbo.Hoja dhaifu hujibiwa na hoja thabiti.Kushika nafasi ya pili tena kwa kuzidiwa pointi 7 baada ya kuongoza kwa pointi 21 mkononi sio credit.
akikujibu nistue .
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Hebu weka CV ya Zahera tulinganishe na CV ya Lwandamina. Lwandamina ameshakuwa coach mkuu wa Timu ya Zambia.Amekuwa best coach Zambia 2014 na 2015.Mwaka 2018/19 amechukua ubingwa akiwa na Zesco.
Zahera amechukua ubingwa na timu ipi akiwa kocha?Tiririka mkuu wacha kufuata mkumbo.Hoja dhaifu hujibiwa na hoja thabiti.Kushika nafasi ya pili tena kwa kuzidiwa pointi 7 baada ya kuongoza kwa pointi 21 mkononi sio credit.
Zahera muda wake mwingi amefundisha Bergium na France sasa unamfananisha vip na Lwandamina, Zahera analeseni daraja A ya UEFA kwa daraja ilo la Lesen anaweza fundisha club yoyote Europe. Ki ufundi Zahera ni mtamu kuliko makocha Wengi wa ligi kuu. Chuki zako binafsi kwa Zahera haziwezi kubadili uwezo alionao.
 
Zahera muda wake mwingi amefundisha Bergium na France sasa unamfananisha vip na Lwandamina, Zahera analeseni daraja A ya UEFA kwa daraja ilo la Lesen anaweza fundisha club yoyote Europe. Ki ufundi Zahera ni mtamu kuliko makocha Wengi wa ligi kuu. Chuki zako binafsi kwa Zahera haziwezi kubadili uwezo alionao.
Ndio tatizo la kufuata mkumbo. Let us assume ana UEFA leseni daraja A.Leseni hiyo anaweza kufundisha timu mpaka umri wa miaka 18 tu kwenye Nchi wanachama wa UEFA.
Inatakiwa uwe na UEFA Pro licence ndio unaweza kufundisha timu yeyote.
Umesema amefundisha Belgium na France naomba nitajie hata timu mbili za wakubwa alizofundisha akiwa Head Coach.
 
Acheni Upumbavu ninyi, Zahera anafanya kazi Yanga katika Mazingira Magumu
Kule kuiwezesha timu kushika nafasi ya pili na Almanusura ya Kutwaa Ubingwa
Mnafikiri ni Kazi ya Kitoto? Bila shaka haya majungu yameanza mapema kuna
kinachoogopwa, BADO NINA IMANI SANA NA ZAHERA..... TUACHIENI KOCHA
WETU.
Kama ulikuwa kwenye mawazo yangu...ivyo watani zangu yanga mtulie tu
 
JF sio kijiwe cha kahawa.Ukija na uzushi na habari za kupika unapewa nondo unakimbia.No research No right to speak.
 
Timu ya Yanga imewahi kuwa na na Makocha wengi sana wazuri kabisa na walioipa mafanikio makubwa sana timu hii , ikiwemo kubeba vikombe kadhaa lakini hawajawahi kusifiwa kama anavyosifiwa huyu kocha mbovu asiye na mafanikio yoyote aitwaye Mwinyi Zahera , hajawahi hata kubeba kikombe cha kunywea kahawa .

Amewapa nini wanayanga huyu mcongo ? au ni kweli kwamba Wacongo wanatumia ndumba kupumbaza wengine ? Huyu kiuwezo yuko nyuma mno kumlinganisha na Kataraiya Minziro lakini sifa anazopewa hata Man U hawakuwahi kumpa Alex Ferguson .
Kawapiga ndumba sio bure[emoji13][emoji13][emoji13]
 
Back
Top Bottom