Hivi uzuri wa kocha wa Yanga Mwinyi Zahera ni upi ?

Hivi uzuri wa kocha wa Yanga Mwinyi Zahera ni upi ?

Waliowika sana na kuipa yanga mafanikio ni Shungu,Mkwasa na Mziray huyo Zahera ni Failure.
Usimsahau Tambwe Leya. Naona Yanga wanafikiri Zahera ana uwezo kama Tambwe Leya, wameuachia klabu, huku akifanya atakavyo!! Sijawahi kuona, wananchi wanamkadhi timu mkongongomani!! Hapo sio bure, ipo namna.
 
?????--------- Wee ni Nani? Kama ni mwanachama au shabiki wa yanga? Ok weee ni Simba siyo? NI kweli Mwalimu wa Yanga sio mwl. Wewe ndiye Mwl tosha. Kuwa kocha msaidizi wa nchi iliyo izidi nchi yako kisoka eti ajui. CHADEMA Kweli NI sawa na CCM
 
Tatizo lako hujui hata kujenga hoja.Umedai anaweza kufundisha timu yeyote Ulaya kwa kuwa na UEFA licence A kama kweli anayo.Huu sio ukweli.Ulidai amefundisha timu za Belgium na Ufaransa ndio ukajibiwa kwamba ni timu ya division 5 na amateur.Hakuna kocha wa maana anafundisha division 5.Sijasema hayawahi kuwa kocha mkuu wa vitimu. Kama una ushahidi weka hapa. Nimesema hajawahi kuchukua ubingwa na timu yeyote.
Unakimbilia kutukana mimi sikutukani kwani nikikutukana watu hawataona tofauti yetu .Jibu hoja kwa hoja.
Hahahah mkuu muache apumzike! Ila umetembea nae kisawasawa,mana Zahera huwa anajidai kafundisha ulaya ila ukifatilia hivyo vitimu alivyofundisha ni vya ajabuajabu tu. Na kibaya zaidi anaowadanganya wameridhika kudanganywa hawahitaji kutafuta taarifa zaidi.
Ni kweli Zahera ni kocha mzuri na ana upekee wake,lakini unakuzwa kupita kawaida.
 
Hahahah mkuu muache apumzike! Ila umetembea nae kisawasawa,mana Zahera huwa anajidai kafundisha ulaya ila ukifatilia hivyo vitimu alivyofundisha ni vya ajabuajabu tu. Na kibaya zaidi anaowadanganya wameridhika kudanganywa hawahitaji kutafuta taarifa zaidi.
Ni kweli Zahera ni kocha mzuri na ana upekee wake,lakini unakuzwa kupita kawaida.
Uzuri wake ni upi ikiwa habebi makombe ?
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Tatizo lako hujui hata kujenga hoja.Umedai anaweza kufundisha timu yeyote Ulaya kwa kuwa na UEFA licence A kama kweli anayo.Huu sio ukweli.Ulidai amefundisha timu za Belgium na Ufaransa ndio ukajibiwa kwamba ni timu ya division 5 na amateur.Hakuna kocha wa maana anafundisha division 5.Sijasema hayawahi kuwa kocha mkuu wa vitimu. Kama una ushahidi weka hapa. Nimesema hajawahi kuchukua ubingwa na timu yeyote.
Unakimbilia kutukana mimi sikutukani kwani nikikutukana watu hawataona tofauti yetu .Jibu hoja kwa hoja.
Kwanza acha upotoshaji Zahera hajafundisha Timu ya Dision 5 , Nilicho kufahanisha ni kwamba Zahera amefundisha Belgium na France tena kama kocha mkuu. Sasa kama izo timu hazipo katika izo nchi ningekua mpotoshaji kama wewe. Uka zungumzia amefundisha timu za amature nika kuuliza Afrika kunaligi ngapi za kulipwa? Wewe binafsi unamchukia Zahera ila bila kupepesa maneno CV na Utendaji wa Zahera ni wa kiwango chajuu kwa apa nchini hasakwa maendeleo ys Soka letu.
Yanga imepata kocha wa kiwango cha Uefa hakuna mpenzi wa Yanga ambaye alijua hafahamu mapungu ya timu lakin Zahera aliweza ku balance nakama si fitina za bongo Yanga ingekuwa bingwa.
Unajua nini kingetokea kwa Simba!! Uchebe angefukuzwa, Manara angefukuzwa, Mwekezaji ange kimbia, Wanachama wa Msimbazi wasinge elewa lolote kwa timu ya Bilion tatu na nusu kukosa ubingwa.
Sasa tusubiri tuone msimu huu tayari mmeshaingia mchecheto kwakua mnajua Zahera atafanya yake.
 
Kwanza acha upotoshaji Zahera hajafundisha Timu ya Dision 5 , Nilicho kufahanisha ni kwamba Zahera amefundisha Belgium na France tena kama kocha mkuu. Sasa kama izo timu hazipo katika izo nchi ningekua mpotoshaji kama wewe. Uka zungumzia amefundisha timu za amature nika kuuliza Afrika kunaligi ngapi za kulipwa? Wewe binafsi unamchukia Zahera ila bila kupepesa maneno CV na Utendaji wa Zahera ni wa kiwango chajuu kwa apa nchini hasakwa maendeleo ys Soka letu.
Yanga imepata kocha wa kiwango cha Uefa hakuna mpenzi wa Yanga ambaye alijua hafahamu mapungu ya timu lakin Zahera aliweza ku balance nakama si fitina za bongo Yanga ingekuwa bingwa.
Unajua nini kingetokea kwa Simba!! Uchebe angefukuzwa, Manara angefukuzwa, Mwekezaji ange kimbia, Wanachama wa Msimbazi wasinge elewa lolote kwa timu ya Bilion tatu na nusu kukosa ubingwa.
Sasa tusubiri tuone msimu huu tayari mmeshaingia mchecheto kwakua mnajua Zahera atafanya yake.
[Tueleze hizi timu za division ipi?Kama sio division 5 na amateur?
Hoja haikuwa timu za Africa. Wacha kuhamisha magoli na kuzungumzia Manara au Aussems.
Fitina zipi?Yanga haikushindwa kwa pointi 7.
Sipo hapa kusikiliza majungu au hadithi za kahawa.Leta facts.
Zahera amechukua kombe la ubingwa wa Nchi na timu gani?
Kocha mzuri anahukumiwa na mataji sio bla bla. .
 
Huyu zaidi ya ukocha pia ni dalali na alimuuza Makambo kwa mafanikio mkubwa.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Mikia fc washukuru sana tifua na ratiba zao kuwabeba ubingwa wangeusikia tu
Acheni Upumbavu ninyi, Zahera anafanya kazi Yanga katika Mazingira Magumu
Kule kuiwezesha timu kushika nafasi ya pili na Almanusura ya Kutwaa Ubingwa
Mnafikiri ni Kazi ya Kitoto? Bila shaka haya majungu yameanza mapema kuna
kinachoogopwa, BADO NINA IMANI SANA NA ZAHERA..... TUACHIENI KOCHA
WETU.
 
Msingepangiwa kucheza mechi 12 nyumbani hata nafasi ya pili mngeisikia kwenye redio.Ushiriki wa viti maalum umewezekana kwa ufanisi wa Simba.
Timu ifikie robo fainali ya CAF ishindwe kushinda ligi rahisi kama ya Tanzania!!!. Simba wamewazidi pointi 7 na goal difference 62 ambazo ukichanganya 33 za Azam na 29 za Yanga ndio mnakuwa sawa.Tafuteni visingizio vingine hivi vya sasa ni fedheha.
 
George Lwandamina ni coach wa viwango .Wacha kumlinganisha na huyo mpiga kelele.Lwandamina ametwaa ubingwa na Zesco
Zesco ni mabingwa wa Zambia. Na mtakutana nao mkishinda dhidi ya Township Rollers.
Bosi wake huyu mpiga kelele amefukuzwa na timu ya Taifa ya Congo kwa matokeo mabaya. Yeye hata hakutajwa.
Robo fainali matokeo mabaya..nyie mpira mmeanza kufuatilia lini
 
Msingepangiwa kucheza mechi 12 nyumbani hata nafasi ya pili mngeisikia kwenye redio.Ushiriki wa viti maalum umewezekana kwa ufanisi wa Simba.
Timu ifikie robo fainali ya CAF ishindwe kushinda ligi rahisi kama ya Tanzania!!!. Simba wamewazidi pointi 7 na goal difference 62 ambazo ukichanganya 33 za Azam na 29 za Yanga ndio mnakuwa sawa.Tafuteni visingizio vingine hivi vya sasa ni fedheha.
SIMBA wananunua timu pinzani mpaka wakina Kambuzi...unashinda CAF nyumbani "kimipango"nje maweee
 
Hebu weka CV ya Zahera tulinganishe na CV ya Lwandamina. Lwandamina ameshakuwa coach mkuu wa Timu ya Zambia.Amekuwa best coach Zambia 2014 na 2015.Mwaka 2018/19 amechukua ubingwa akiwa na Zesco.
Zahera amechukua ubingwa na timu ipi akiwa kocha?Tiririka mkuu wacha kufuata mkumbo.Hoja dhaifu hujibiwa na hoja thabiti.Kushika nafasi ya pili tena kwa kuzidiwa pointi 7 baada ya kuongoza kwa pointi 21 mkononi sio credit.
Ligi ambayo Mavugo anashinda golden boot..kwa magoli kumi..be serious
 
Huu ndo msimu wa pili tumwache aanze ligi.pochetino ni kocha borana kuna makocha wengi bora ambao hawana vikombe.kuna wachezaji bora ambao hawana vikombe.ubora wa kocha ni namna ambayo anapanga kikosi chake na kudhibiti
Benchi la ufundi.
Kocha yeyote mzuri analeta vikombe , huyu wenu ameleta nini ? timu inacheza hovyo kabisa ! huwezi hata kudhani wanatumia fomesheni yoyote ila !
 
Kwa Tanzania zahera ni kocha bora,na kuhusu vikombe ni msimu huu ambapo inabidi tumjudge kwa hilo kulingana na hali aliyoikuta na ubora wa kikosi.
Mara nyingi makocha wanapenda kufanya kazi na aina fulani ya wachezaji ambao wanaingia kwenye mifumo yao,hata Pep hakupata kikombe msimu wa kwanza alivyofika uingereza kama nna kumbukumbu vizuri,ila kilichofatia baada ya kusajili wachezaji anaowataka kila mtu wa mpira anakijua.Tumpe muda tu Zahera,msimu huu ambao kapata anavyotaka tuone.
 
Dooh mbona reasoning ya hali ya chini sana hii. Mkuu kutrend kwa msemo wa "acha kumlinganisha fulan na vitu vya kijinga" ndo kila sehem unatupia tu!!!?

Mkuu hapo kajenga hoja kiufaham kabisa wa mambo kwamba, coach wa viwango Lwandamina aliikimbia team ikiwa ktk crisis, sasa huoni kama Zahera anastahil credits kwa kuifikisha 2nd runner na almanusra kutwaa 'jagi' na hatmae kushiriki CL!?
Halafu hata Zesco mwaka huu watafungwa sana maana wamewauza wachezaji wao wazuri akina Kambole na Winston Kalengo. Juzi kati wamefungwa na Zanaco FC. Walicheza chini ya kiwango sana. Zesco wamekuwa na mpira wa ovyo sana sasa hivi. Hivyo, siku za Lwandamina ndani ya Zesco FC zinahesabika.
 
Back
Top Bottom