Hivi uzuri wa kocha wa Yanga Mwinyi Zahera ni upi ?

Hivi uzuri wa kocha wa Yanga Mwinyi Zahera ni upi ?

Mm mwenyewe mpenzi wa Timu ya wananchi ila nilitaka na mtani aingie hatua inayofuata (wela ushabiki pembeni kwanza Ndiga)
Tatizo mliaminishwa kuwa Rollers wangetutoa kwa vile nyie mlitoka nao sare , mpira hauko hivyo.
 
Timu ya Yanga imewahi kuwa na na Makocha wengi sana wazuri kabisa na walioipa mafanikio makubwa sana timu hii , ikiwemo kubeba vikombe kadhaa lakini hawajawahi kusifiwa kama anavyosifiwa huyu kocha mbovu asiye na mafanikio yoyote aitwaye Mwinyi Zahera , hajawahi hata kubeba kikombe cha kunywea kahawa .

Amewapa nini wanayanga huyu mcongo ? au ni kweli kwamba Wacongo wanatumia ndumba kupumbaza wengine ? Huyu kiuwezo yuko nyuma mno kumlinganisha na Kataraiya Minziro lakini sifa anazopewa hata Man U hawakuwahi kumpa Alex Ferguson .
Ameivusha kwenye hatua ya pili timu iliyosajili kwa kupitisha bakuli na kuweka kambi yake Kisamvu huku ikicheza mechi za majaribio na timu za watoto wa madrasa. Lakini hatua hiyo ndiyo aliyoishia kocha wa timu iliyosjili kwa mabilioni ikaweka kambi Afrika ya Kusini na kucheza mechi za majaribio na mabingwa wa nchi mbalimbali za Afrika ikiwamo bingwa Mstaafu. Unahisi yepi anastahiki kupendwa zaidi na wapenzi wa timu yake?
 
Timu ya Yanga imewahi kuwa na na Makocha wengi sana wazuri kabisa na walioipa mafanikio makubwa sana timu hii , ikiwemo kubeba vikombe kadhaa lakini hawajawahi kusifiwa kama anavyosifiwa huyu kocha mbovu asiye na mafanikio yoyote aitwaye Mwinyi Zahera , hajawahi hata kubeba kikombe cha kunywea kahawa .

Amewapa nini wanayanga huyu mcongo ? au ni kweli kwamba Wacongo wanatumia ndumba kupumbaza wengine ? Huyu kiuwezo yuko nyuma mno kumlinganisha na Kataraiya Minziro lakini sifa anazopewa hata Man U hawakuwahi kumpa Alex Ferguson .
Ashapapaswa huko
 
Timu ya Yanga imewahi kuwa na na Makocha wengi sana wazuri kabisa na walioipa mafanikio makubwa sana timu hii , ikiwemo kubeba vikombe kadhaa lakini hawajawahi kusifiwa kama anavyosifiwa huyu kocha mbovu asiye na mafanikio yoyote aitwaye Mwinyi Zahera , hajawahi hata kubeba kikombe cha kunywea kahawa .

Amewapa nini wanayanga huyu mcongo ? au ni kweli kwamba Wacongo wanatumia ndumba kupumbaza wengine ? Huyu kiuwezo yuko nyuma mno kumlinganisha na Kataraiya Minziro lakini sifa anazopewa hata Man U hawakuwahi kumpa Alex Ferguson .
Zahera kinachompa ujiko Yanga ni kuwa mfadhili wao wakati wakiwa kwenye hali ngumu ya uchumi msimu ulipoita. Kocha gani anaweza kutoka kwao, tena nje ya nchi, atakubali kufanya kazi bila halipo?

Vv
 
Acheni Upumbavu ninyi, Zahera anafanya kazi Yanga katika Mazingira Magumu
Kule kuiwezesha timu kushika nafasi ya pili na Almanusura ya Kutwaa Ubingwa
Mnafikiri ni Kazi ya Kitoto? Bila shaka haya majungu yameanza mapema kuna
kinachoogopwa, BADO NINA IMANI SANA NA ZAHERA..... TUACHIENI KOCHA
WETU.
Yaani unataka kutuaminisha kuwa Yanga kushika nafsi ya pili ni 'news? Tangu lini Yanga akawa anagombania nafasi za timu kama Mtibwa, Coastal, na KMC? Yanga saizi yake ni Simba, na Azam, katka kupigania ubingwa, hizo nafasi hizo nafasi za pili kushuka chini ni kwa timu nyinginezo, sio Yanga.

Vv
 
Ni kocha lakini pia ni Msemaji wa Club, zaidi ya hapo ni muasisi wa kuvaa vipensi kwenye club.
 
Back
Top Bottom