Hivi vazi la ndani (chupi) lina umuhimu gani kiafya?

Hivi vazi la ndani (chupi) lina umuhimu gani kiafya?

Kuna bwana mmoja alikuja jana na uzi wake akiwalalamikia nyie msiopenda kuvaa chupi, umuhimu wa kiafya nadhani inawapunguzia wanaume hamu ya kuwatamani pale mnapotembea au kuokota peni ofisini.
Mimi sio mvaaji wa nguo Fupi wala za kubana hapa inakuwaje
 
Chupo haina kazi si kiafya wala kivingine, mi naona ni mazoea tu!

Ukivaa iko ndani hamna anayeiona, ikionekana unaambiwa umekaa vibaya, ukikaa vibaya na isipoonekana unaambiwa uko uchi, hata sielewi kazi yake!
 
Huvai chupi mixer vuzi
Hapo hata mtu akichungulia haoni kitu

Mi sijui madhara kiafya ya kutovaa chupi asee
 
Huvai chupi mixer vuzi
Hapo hata mtu akichungulia haoni kitu

Mi sijui madhara kiafya ya kutovaa chupi asee
Vuzi Hakuna. Naacha zile rasha rasha za kusaidia mashambulizi tu ya kiumeni 😀😛
 
Chupo haina kazi si kiafya wala kivingine, mi naona ni mazoea tu!

Ukivaa iko ndani hamna anayeiona, ikionekana unaambiwa umekaa vibaya, ukikaa vibaya na isipoonekana unaambiwa uko uchi, hata sielewi kazi yake!
Hahaaaaaaaaa Hahaaaaaaa 😀😀😀😀😀😀
 
Nguo ya ndani yoyote, iwe chupi, fulana au sidiria kazi kuu ni kukinga nguo za nje zisichafuke kwa maji maji yanayotolewa na mwili, kibailojia km jasho, mkojo, shahawa, damu ya hezi, kinyesi, nk.

Sababu nyingine, km chupi husaidia kulinda heshima ya mtu kwa kuhifadhi sehemu za siri vizuri km mwanaume ambaye uume wake utasisimka kwa sababu mbalimbali mbele ya kadamnasi ya watu.

Lakini pia kuna hasara za kiafya kuvaa chupi ikiwa ni pamoja na kujiambukiza magonjwa ya sehemu za siri, kama chupi hazibadilishwi mara kwa mara na mvai mgonjwa.
 
Nguo ya ndani yoyote, iwe chupi, fulana au sidiria kazi kuu ni kukinga nguo za nje zisichafuke kwa maji maji yanayotolewa na mwili, kibailojia km jasho, mkojo, shahawa, damu ya hezi, kinyesi, nk.

Sababu nyingine, km chupi husaidia kulinda heshima ya mtu kwa kuhifadhi sehemu za siri vizuri km mwanaume ambaye uume wake utasisimka kwa sababu mbalimbali mbele ya kadamnasi ya watu.

Lakini pia kuna hasara za kiafya kuvaa chupi ikiwa ni pamoja na kujiambukiza magonjwa ya sehemu za siri, kama chupi hazibadilishwi mara kwa mara na mvai mgonjwa.
Asante Sana
 
Kazi yake ni kuficha watoto wasione ikulu in case umekaa vibaya au suruali au sket ikakuchanika kwenye kana mdasi ya watu
 
hawa jamaa wawili ni mapacha?? Mbona wamevaa jinsi sawa??
image.jpeg
 
Chupi ina act like a filter nadhani hili ni jibu fupi lenye kueleweka
 
Back
Top Bottom