Kwa Kwel Nina muda mrefu Huwa hili vazi la ndani pendwa kufuli niliiacha kuvaa, maana nilikuwa naona joto na Huwa Sipendelei hasa kuvaa mavazi yanayobana mwili. Nikiwaeleza wenzangu Huwa wananishangaa Eti Kwanini sivai, nikiwaomba waniambie faida kwakwel zinakuwa porojo tu. Wadau Kama kuna anayejua faida zozote zinazopatikana kiafya kuvaa vazi hili naomba nielimishwe Ili niaze kulivaa rasmi kuazia sasa.
Wasalaam
Beef Lasagna
Duh! kwahiyo shati lako linafika magotiniMimi nisipovaa then hivi viumbe vya kike vikinipitia karibu chuma huenda dubei fast so bila chupi ni aibu labda nichomolee shati
Wewe unitafute 0718496...Kwa Kwel Nina muda mrefu Huwa hili vazi la ndani pendwa kufuli niliiacha kuvaa, maana nilikuwa naona joto na Huwa Sipendelei hasa kuvaa mavazi yanayobana mwili. Nikiwaeleza wenzangu Huwa wananishangaa Eti Kwanini sivai, nikiwaomba waniambie faida kwakwel zinakuwa porojo tu. Wadau Kama kuna anayejua faida zozote zinazopatikana kiafya kuvaa vazi hili naomba nielimishwe Ili niaze kulivaa rasmi kuazia sasa.
Wasalaam
Beef Lasagna
Wewe unitafute 0718496...
HalotelHii uliyotoa ni tigo?!
Najistri vizur tu. Tatizo ni hilomwanamke asiyevaa chupi ni sawa na mlango wa nyumba usiofungwa kwa kufuri wala kitasa, Chupi kwa mwanamke ni ishara ya staha na kujithamini kwake,
mwanamke asiyevaa chupi ana ashiria tabia fulani hivi mbovu.
Jiulize unakutana na manzi kwenye ulingo halafu anatoa sketi au suruali ghafla anabaki uchi bila kuona chupi......( I think yo' we be disappointed indeed)
nadhani chanzo cha chupi seehemu ya wazungu kututawala!kwani walikuja na mbinu ya kutuaminisha kuwa kila kitu chetu tukiite ni cha kishenzi!Ili waweze kututawala vizuri na kweli wamefanikiwa kwani baada ya kuacha zile za kwetu na kudumu na za kwao,imefika hatuzijui tena zile za kwetu!sasa hapo wamefanikiwa kutukamata vizuri kwani kupitia tu hizi za kwao wanatu control wanavyotaka.Haaa haaa haaa
Hivi, Kazi ya chupi ni nini?
Ukivaa haijulikani, usipovaa haijulikani. Ikionekana unaambiwa umekaa uchi, ukiwa uchi utasikia hajavaa chupi. Sasa Chupi ni ya nini?