toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,612
- 4,721
Ni alhamis tamu sana kukiwa na hali ya hewa ya mawingu na ubaridi na kimvua hapa dar hakika napendaga hii hali sana.
Ok niende kwenye mada unaweza ukapita mahali au kwenye masoko hapa dar unakuta viatu vinauzwa 3000 mpaka 4000 ni viatu vizuri sana mimi siku zote nimekua na ndoto ya kufanya biashara ya viatu vya mtumba kama hivyo ila nashindwa kujua ni wapi wanavitoaga niliuliza mmoja akaishia kutabasamu tu hakunambia chochote.
Naombeni mnishauri juu ya hili pia ningependa kujuwa ni wapi nitapata hivyo viatu namaanisha chimbo la hivyo viatu ili nami nianze na hii biashara Na hata pia bei zinakuaje.
Natumai nitapata mwongozo!
Ok niende kwenye mada unaweza ukapita mahali au kwenye masoko hapa dar unakuta viatu vinauzwa 3000 mpaka 4000 ni viatu vizuri sana mimi siku zote nimekua na ndoto ya kufanya biashara ya viatu vya mtumba kama hivyo ila nashindwa kujua ni wapi wanavitoaga niliuliza mmoja akaishia kutabasamu tu hakunambia chochote.
Naombeni mnishauri juu ya hili pia ningependa kujuwa ni wapi nitapata hivyo viatu namaanisha chimbo la hivyo viatu ili nami nianze na hii biashara Na hata pia bei zinakuaje.
Natumai nitapata mwongozo!