toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,612
- 4,721
- Thread starter
- #21
Asante sana huo mnada wanauza kwa jumla au ni kimoja kimoja mkuu?Amka asubuhi na mapema wahi karume, kunakua na mnada. Wananunua kwenye mnada asubuhi kisha wanaenda viosha kama ni vya shule wanapiga dai na kiwi mzigo unaingia sokoni.
Sent using Jamii Forums mobile app