Hivi viatu vya 3000 huwa vinatoka wapi? Nataka niingie kwenye biashara ya viatu

ukitaka kupata mzigo hakikisha saa 10 kamili inakukuta upo karume au ilala

panga mwenyewe utatoka saa ngapi unapokaa ili 10 kamili ikukute eneo husika

saa 11 tayari pashachangamka na viatu vikali vishawahiwa na wajanja ambaoo saa 9 wapo macho.
Asante sana kaka...jee ni kuchagua kimoja kimoja eeh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ukitaka kupata mzigo hakikisha saa 10 kamili inakukuta upo karume au ilala

panga mwenyewe utatoka saa ngapi unapokaa ili 10 kamili ikukute eneo husika

saa 11 tayari pashachangamka na viatu vikali vishawahiwa na wajanja ambaoo saa 9 wapo macho.
Na ni kila siku mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa huyu chalii mtoa mada anayeuliziaga mafuta laini ya kufanya ang'are usoni na kua nyororo nyororo hizi mbishe hataziweza.

dodge
 
Ndo changamoto mkuu usipoumia kwa kiasi kikubwa huwezi kufanikiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni ujinga wetu tu waafrika. Kila kitu ni vurugu. Kwa nini wasibuni njia nzuri zaidi ya kuuza kwa usataarabu? Waweke mnada watu wachuane.
 
Kwan belomoja n kama shingap.kwauzoef wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…