Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sina shida ya mzazi kumchapa mtoto wake sababu tafiti zinasema ili adhabu iwe effective inategemea na anaye itoa, lakini kwa waalimu naona tunaharibu watoto. just imagine mwalimu katoka kukuchapa alafu anakufundisha muda huohuo au unategemea mtoto akamuombe msaada wa kimasomo! mwalimu ni rafiki lakini huku afrika especially TZ ni adui.hata Biblia inaruhusu viboko
inamaana watoto wa shule za international au za kihindi au ulaya ni wajinga kwa sababu viboko havijaondoa ujinga wao?