SAUTI YAKO
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 2,944
- 2,032
Kaziya kutangaza nchi ni kazi ya bodi ya Utalii na wanalipwa mshahara kwa sababu hiyo na badget wanapewa, sasa wewe unataka wasanii wafanye kazi bure wakati wana makampuni yao ambayo mwisho wa mwezi mnayadai kodi ?Wadau wa muziki, ninashangazwa sana na hawa wasanii wetu wa bongo fleva ambao wanashindwa kuitangaza nchi yetu na kuamua kila video yao mpya kwenda kuifanya South Africa utadhani huko ndio nyumbani kwao.
Hivi Tanzania yetu haina maeneo mazuri yanaofaa kwa location mpaka kila video iwe ni nje tu hasa South Africa? Zanzibar mbona kunavutia.
Kama ishu ni watengenezaji bora wa video kwanini msiwaite waje hapa nchini?
Nani atatangaza vivutio tulivyonavyo kama sio video zenu?
Jamani kama majumba makali hapa yapo, mahotel makali yapo, tatizo nini?
Mkataa kwao ni mtumwa!
Watanzania ni lini tutaacha hii kasumba ati wasanii "kutangaza vivutio"??
Hivi msanii akitoa nyimbo nzuri na video kali ikatikisa Afrika, hajaitangaza nchi hapo??
Alafu muziki ni biashara! Watu wanenda SA kwasababu ngingi.. Quality za video, na ni rahisi kupata access ya location.. Hapa bongo kwa mfano utake kufunga barabara ili ushoot video mpaka upewe kibali ni miezi kadhaa labda..
Pia directors wa SA wanaconnectios na vituo vya TV vya kimataifa..
Acheni wasanii waende SA na ikiwezekana hata USA wakatengeneze video Kali.. Wanajiweka kwenye nafasi nzuri ya kujipatia mafanikio binafsi, wanakuza mziki na wanaitangaza nchi..
[emoji4] [emoji1] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] nimecheka sana love...sana.
[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji4] [emoji1] [emoji23]
Watu wanaishi Tanzania ila nahisi hawajui TANAPA kitu gani.. Wakimuona Sheta wanajiuliza "huyo sijui ndio Tanapa mwenyewe"