SAUTI YAKO
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 2,944
- 2,032
Wadau wa muziki, ninashangazwa sana na hawa wasanii wetu wa bongo fleva ambao wanashindwa kuitangaza nchi yetu na kuamua kila video yao mpya kwenda kuifanya South Africa utadhani huko ndio nyumbani kwao.
Hivi Tanzania yetu haina maeneo mazuri yanaofaa kwa location mpaka kila video iwe ni nje tu hasa South Africa? Zanzibar mbona kunavutia.
Kama ishu ni watengenezaji bora wa video kwanini msiwaite waje hapa nchini?
Nani atatangaza vivutio tulivyonavyo kama sio video zenu?
Jamani kama majumba makali hapa yapo, mahotel makali yapo, tatizo nini?
Mkataa kwao ni mtumwa!
Hivi Tanzania yetu haina maeneo mazuri yanaofaa kwa location mpaka kila video iwe ni nje tu hasa South Africa? Zanzibar mbona kunavutia.
Kama ishu ni watengenezaji bora wa video kwanini msiwaite waje hapa nchini?
Nani atatangaza vivutio tulivyonavyo kama sio video zenu?
Jamani kama majumba makali hapa yapo, mahotel makali yapo, tatizo nini?
Mkataa kwao ni mtumwa!