Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitaka kukuta kifo cha nini mkuu
Hmm!! kapeace: Uongo huu, sasa.Badili mazingira utakutana na popo kanyea mbingu
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] kwani, uongo hiko sio kifo cha mende!wengine mliwaza nini,???!
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] mkuu, umenikumbusha kitu, niliona video moja mtandaoni, mzungu anamdinya mbwa, na mbwa nae katulia anausikilizia mkuyenge wa mzungu.sasa ulitkaka ukute kifo cha UMBWA au!?
Karibu my dear.Haya.
Blaaah mkuu.kazi kwel kwel
Kifo akiepukiki hata, uwe bondia au uwe, na mdomo mchafu kama kinyesi cha binadamu, ujuwe siku ikifika utakufa tu.Labda alitaka kukuta kifo chake.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] ya dunia hayo mkuu.wengine mliwaza nini,???!
Tembea uoneHmm!! kapeace: Uongo huu, sasa.
Ww ni KE au ME..Miaka nenda, miaka rudi nikingia toilet, nakuta kifo cha mende, nikingia sebuleni nakuta kifo cha mende, nikingia chumbani nakuta kifo cha mende, nikingia kitandani loooh salale ndio, majanga kabisa, sasa nasema baaasi! nimechoka....!![]()
Haha haha Kukosa kazi nako ni shida