Hivi vikundi vya kigaidi vinavyoanzishwa na Wamarekani tunaogopa kuvilaani kupitia Dini zetu?

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Mimi huwa nachanganyikiwa na hili suala la kusema ISIs, Boko Haram, Al Shabab, Is, Hamas hivi vikundi ukivisema mabaya yake ya wazi kabisa huwa wanakimbilia kusema viliundwa na Marekani lakini husikii vikilaaniwa hata siku moja.

Husikii kwenye nyumba zetu za ibada tukivilaani.
 
Watu wana akili sana ya kutambua ukweli na uongo.
Unachosema ni kweli kuhusu vikundi vyengine vyote ulivyotaja isipokuwa Hamas.Sijawahi kusikia watu wakisifu wala kulaani Bokoharam ndani ya misikiti kwa vile wamevipuuza na havina sifa ya kuwa vikundi vya waislamu.Lakini kwa Hamas miisikiti mingi sana wamekuwa wakiwaombea dua kwa Allah.Hii yaweza kuwa sababu japo wamezingirwa lakini hakujapatika ushindi dhidi yao.
 
Kwa miongozo hiyo,ndiyo tuhitimishe kwamba USA huwa anaviunda?Kweli?Kila madhila tuwasingizie wao tu?🤣🤣🤣
 
Kwa miongozo hiyo,ndiyo tuhitimishe kwamba USA huwa anaviunda?Kweli?Kila madhila tuwasingizie wao tu?🤣🤣🤣
Niambie hivi vikundi vilianza miaka ipi? Mbona saudia , Qatar , Dubai havipo ?

Kwa nn vipo Liby baada ya Gaddaf kuondoka ? Kwa nn vipo Iraq pale middle east na kipind cha Saddam vilikuwa kimya?

Kwa nn kama waislamu wapigane kwa kupewa pesa ilhali hawapigani na Israel ?


Pale Afghanstan unazisikia tena ?
 
Kama vile Israel ilivyoanzishwa na Marekani. Wakaweka mpaka vifungu kwenye biblia. Eti ukiibariki Israel nawe utabarikiwa. Na ukiilaani nawe utalaaniwa. Rubish
 

Umesema kweli maana huko Uganda yupo Joseph konyi lakini haitwi gaidi anaitwa muasi
 

Kuna waasi na kuna magaidi wa kiislamu wacha kuchanganya, kurani yenyewe Ina maandiko ya kuagiza watu wasioiamini wakatwe vichwa, huo ndio ugaidi.
 
Marekani noma. Wanaanzisha hivi vikundi vya kigaidi nakuwafundisha waseme Allah Akbar Allah akbar kabla yakuua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…