Hivi vikundi vya kigaidi vinavyoanzishwa na Wamarekani tunaogopa kuvilaani kupitia Dini zetu?

Hivi vikundi vya kigaidi vinavyoanzishwa na Wamarekani tunaogopa kuvilaani kupitia Dini zetu?

West wamekuwa wakipewa lawama za ugaidi,lakini ukweli wafuasi wa mtume hasa wajinga ndo wenye hayo makundi. Marekani inatumika kama kichaka tu.
ISIS walitibiwa Sana hospital za Israel,wakashushiwa silaha na marekani 'kwa bahati mbaya' na Sasa wameanza kurudi kwa Kasi,wanasumbua huko Afghanistan na Iraq Syria wanajikusanya
 
Marekani noma. Wanaanzisha hivi vikundi vya kigaidi nakuwafundisha waseme Allah Akbar Allah akbar kabla yakuua.
Umoja wa mahakama za kiislam ulishika Dola pale Somalia pakatulia, marekani na uingereza wakaona usinitanie,wakawapiga umoja wa mahakama za kiislam na kuibuka Al shabaab
 
Kama vile Israel ilivyoanzishwa na Marekani. Wakaweka mpaka vifungu kwenye biblia. Eti ukiibariki Israel nawe utabarikiwa. Na ukiilaani nawe utalaaniwa. Rubish
Marekani si ndo imeanzisha Uislamu pia? Marekani imeanzisha mengi sana sheikh
 
Back
Top Bottom