Hivi viongozi wa Simba mnatuchukuliaje wanachama na mashabiki?

Hivi viongozi wa Simba mnatuchukuliaje wanachama na mashabiki?

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
d561b0700ddf4cde91ab88ecb9ea8ffe.jpg


Hakuna mtu asiyejua kama hatuna mafanikio, lakini sio kutufanya mazuzu kutuletea mafanikio ya kuungaunga.

Mtu anapimwa kwa kufanikisha objectives, sasa mtueleze hizo ndio zilikuwa objectives zenu?

Wanachama ili tuheshimiane kuna kila sababu za kufanya kitu kwa hawa viongozi
 
View attachment 2878980

Hakuna mtu asiyejua kama hatuna mafanikio, lakini sio kutufanya mazuzu kutuletea mafanikio ya kuungaunga.

Mtu anapimwa kwa kufanikisha objectives, sasa mtueleze hizo ndio zilikuwa objectives zenu?

Wanachama ili tuheshimiane kuna kila sababu za kufanya kitu kwa hawa viongozi
tulia wewe hayo kwa mangungu mafanikio makubwa sana kama unataka zaidi ya hapo mrudisheni babra
 
View attachment 2878980

Hakuna mtu asiyejua kama hatuna mafanikio, lakini sio kutufanya mazuzu kutuletea mafanikio ya kuungaunga.

Mtu anapimwa kwa kufanikisha objectives, sasa mtueleze hizo ndio zilikuwa objectives zenu?

Wanachama ili tuheshimiane kuna kila sababu za kufanya kitu kwa hawa viongozi
Kulia kupokezana, poleni sana Makolokolo.

Utopolo tunatamba miaka hii 2019 - 2024.

Ubinadamu ni kazi/Humanity is work.
JamiiForums1683832807.jpg


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Fanikio lingine ni kijiwe cha gahwa kariakoo
 
View attachment 2878980

Hakuna mtu asiyejua kama hatuna mafanikio, lakini sio kutufanya mazuzu kutuletea mafanikio ya kuungaunga.

Mtu anapimwa kwa kufanikisha objectives, sasa mtueleze hizo ndio zilikuwa objectives zenu?

Wanachama ili tuheshimiane kuna kila sababu za kufanya kitu kwa hawa viongozi
Hahahahaha...hivi unadhani Rage alikosea ? Tena aliongea ktk mkutano mkuu km hivi
 
View attachment 2878980

Hakuna mtu asiyejua kama hatuna mafanikio, lakini sio kutufanya mazuzu kutuletea mafanikio ya kuungaunga.

Mtu anapimwa kwa kufanikisha objectives, sasa mtueleze hizo ndio zilikuwa objectives zenu?

Wanachama ili tuheshimiane kuna kila sababu za kufanya kitu kwa hawa viongozi
Viongozi wa Simba wanapenda kwenda na midundo ya mashabiki wake. Tunamtaka Chama arejee Simba wakamrejesha, tunamtaka kondeboy hao wakamleta. Tunamtaka Manzoki akaletwa Manzoki. Sasa nini leo kushangaa kuandikiwa Community shield ni mafanikio ilihali nyie wenyewe mlilipuka kwa furaha kwa kutwaa community shield na kuona kama lengo la kwanza limetimia
 
View attachment 2878980

Hakuna mtu asiyejua kama hatuna mafanikio, lakini sio kutufanya mazuzu kutuletea mafanikio ya kuungaunga.

Mtu anapimwa kwa kufanikisha objectives, sasa mtueleze hizo ndio zilikuwa objectives zenu?

Wanachama ili tuheshimiane kuna kila sababu za kufanya kitu kwa hawa viongozi
Nakushauri kama mdogo wangu, tafuta njia ila punguza mahaba kwa Simba angalau kwa muda maana yajayo yanafurahisha. Simba haina viongozi pale huo ndiyo ukweli.
 
Nakushauri kama mdogo wangu, tafuta njia ila punguza mahaba kwa Simba angalau kwa muda maana yajayo yanafurahisha. Simba haina viongozi pale huo ndiyo ukweli.
Ushauri mzuri ila sidhani km atauzingatia ...we subiri siku washinde mechi kadhaa ndio utajua
 
View attachment 2878980

Hakuna mtu asiyejua kama hatuna mafanikio, lakini sio kutufanya mazuzu kutuletea mafanikio ya kuungaunga.

Mtu anapimwa kwa kufanikisha objectives, sasa mtueleze hizo ndio zilikuwa objectives zenu?

Wanachama ili tuheshimiane kuna kila sababu za kufanya kitu kwa hawa viongozi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hadi kombe la mashabiki
Limebaki kombe la Mo😂😂😂
 
Back
Top Bottom