OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
tulia wewe hayo kwa mangungu mafanikio makubwa sana kama unataka zaidi ya hapo mrudisheni babraView attachment 2878980
Hakuna mtu asiyejua kama hatuna mafanikio, lakini sio kutufanya mazuzu kutuletea mafanikio ya kuungaunga.
Mtu anapimwa kwa kufanikisha objectives, sasa mtueleze hizo ndio zilikuwa objectives zenu?
Wanachama ili tuheshimiane kuna kila sababu za kufanya kitu kwa hawa viongozi
Kulia kupokezana, poleni sana Makolokolo.View attachment 2878980
Hakuna mtu asiyejua kama hatuna mafanikio, lakini sio kutufanya mazuzu kutuletea mafanikio ya kuungaunga.
Mtu anapimwa kwa kufanikisha objectives, sasa mtueleze hizo ndio zilikuwa objectives zenu?
Wanachama ili tuheshimiane kuna kila sababu za kufanya kitu kwa hawa viongozi
Ndo aliwaita MBUMBUMBU au basi [emoji16]Kama Rage alivyosema
😄😄Ndo aliwaita MBUMBUMBU au basi [emoji16]
Hahahahaha...hivi unadhani Rage alikosea ? Tena aliongea ktk mkutano mkuu km hiviView attachment 2878980
Hakuna mtu asiyejua kama hatuna mafanikio, lakini sio kutufanya mazuzu kutuletea mafanikio ya kuungaunga.
Mtu anapimwa kwa kufanikisha objectives, sasa mtueleze hizo ndio zilikuwa objectives zenu?
Wanachama ili tuheshimiane kuna kila sababu za kufanya kitu kwa hawa viongozi
Viongozi wa Simba wanapenda kwenda na midundo ya mashabiki wake. Tunamtaka Chama arejee Simba wakamrejesha, tunamtaka kondeboy hao wakamleta. Tunamtaka Manzoki akaletwa Manzoki. Sasa nini leo kushangaa kuandikiwa Community shield ni mafanikio ilihali nyie wenyewe mlilipuka kwa furaha kwa kutwaa community shield na kuona kama lengo la kwanza limetimiaView attachment 2878980
Hakuna mtu asiyejua kama hatuna mafanikio, lakini sio kutufanya mazuzu kutuletea mafanikio ya kuungaunga.
Mtu anapimwa kwa kufanikisha objectives, sasa mtueleze hizo ndio zilikuwa objectives zenu?
Wanachama ili tuheshimiane kuna kila sababu za kufanya kitu kwa hawa viongozi
Nakushauri kama mdogo wangu, tafuta njia ila punguza mahaba kwa Simba angalau kwa muda maana yajayo yanafurahisha. Simba haina viongozi pale huo ndiyo ukweli.View attachment 2878980
Hakuna mtu asiyejua kama hatuna mafanikio, lakini sio kutufanya mazuzu kutuletea mafanikio ya kuungaunga.
Mtu anapimwa kwa kufanikisha objectives, sasa mtueleze hizo ndio zilikuwa objectives zenu?
Wanachama ili tuheshimiane kuna kila sababu za kufanya kitu kwa hawa viongozi
Ushauri mzuri ila sidhani km atauzingatia ...we subiri siku washinde mechi kadhaa ndio utajuaNakushauri kama mdogo wangu, tafuta njia ila punguza mahaba kwa Simba angalau kwa muda maana yajayo yanafurahisha. Simba haina viongozi pale huo ndiyo ukweli.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣View attachment 2878980
Hakuna mtu asiyejua kama hatuna mafanikio, lakini sio kutufanya mazuzu kutuletea mafanikio ya kuungaunga.
Mtu anapimwa kwa kufanikisha objectives, sasa mtueleze hizo ndio zilikuwa objectives zenu?
Wanachama ili tuheshimiane kuna kila sababu za kufanya kitu kwa hawa viongozi