Hivi viongozi wa Simba mnatuchukuliaje wanachama na mashabiki?

Mwasibu kama Mwasibu.

Bukubuku zenu warudishe, Fei Toto kawatia ndani za kwenda CAS na za uwanja mmeliwa, Yani nyinyi ni matutusa mnapigwa Tu kila sehemu, Fei Toto anawacheka Tu.
 
Si wazee wa 10% walimpiga majungu mwanamama kutoka Colombia,Barbara Gonzalez kuwa hafai,hajui kuendesha timu n.k matokeo yake Mo kaisusa timu kawaachia wazee wa mjini waiendeshe timu kiswahili na haya ndio matokeo yake
 
Mwasibu kama Mwasibu.

Bukubuku zenu warudishe, Fei Toto kawatia ndani za kwenda CAS na za uwanja mmeliwa, Yani nyinyi ni matutusa mnapigwa Tu kila sehemu, Fei Toto anawacheka Tu.
Hahahahaha, halafu mwasibu kakaa tu kiboya boya timu inapigwa hela daily huyu mwasibu nina hofu nae
 
Ifike hatua tuache kuwapa uongozi watu waswahili swahili sijui ana histori na Simba. Hawa watu wana maono madogo sana
Mashabiki wenyewe mambumbumbu unategemea nn...jisomeni humu khs nyuzi zenu kisha jiulizeni kwann msiwe na viongozi km hao ikiwa nyie wenyewe ni mbumbumbu wahed
 
Uko sahihi mkuu. Watu wanasoma Taarifa utadhani wanasomea watoto wa chekechea?
 
Uko sahihi mkuu. Watu wanasoma Taarifa utadhani wanasomea watoto wa chekechea?
Wanawasomea mbumbumbu kwann waumize kichwa...mbumbumbu unamsomea ki mbumbumbu hivyo hivyo ili aelewe na ndio maana mmeelewa yote
 
Mi bajeti tu ndo imenishangaza, bajeti kubwa sana isiyo na tija
hili swali hata mimi nilitamani kuuliza,
hivi bajeti ya bilioni 1t+ wanafanyia nini?

maana mishahara ya wachezaji pekee sidhan kama inavuka bil 3
 
Hivi Manzoki kwenye kile kikao alikuja kufanya nn?
Na washabiki walifurahia mnoooo kuja kwake akiwemo mleta uzi.

Eti alikuja kuwananga Yanga. Sijui kwann hili la manzoki kuja kwenye mkutano hawakuliweka kama fanikio nalo
 
Na washabiki walifurahia mnoooo kuja kwake akiwemo mleta uzi.

Eti alikuja kuwananga Yanga. Sijui kwann hili la manzoki kuja kwenye mkutano hawakuliweka kama fanikio nalo
Ni mbumbumbu halafu leo eti wanaanzisha uzi wa kuusema uongozi wao wkt wao wenyewe wanajulikana km ni mbumbumbu na viongozi wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…