Hivi viongozi wetu wa Halmashauri wakoje?

Hivi viongozi wetu wa Halmashauri wakoje?

Manjagata

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2012
Posts
13,942
Reaction score
15,371
Huwa nawashangaa sana watumishi wa serikali. Hivi kwanini wanapenda kuandika vitu na kiviweka public bila kufanya uhakiki wa kilichoandikwa?

Huwa ni wavivu wa kusoma au ni nini? Nimekuta kibao hata Manispaa kwangu eti kameandika SEKONDALI Badala ya SEKONDARI hadi nimeona aibu!

Nyie watumishi wa Manispaa ya Shinyanga kama mmo humo naomba hicho kibao mkaking'oe mwandike upya!

20230130_114747.jpg
 
Huwa nawashangaa sana watumishi wa serikali. Hivi kwa nini wanapenda kuandika vitu na kiviweka public bila kufanya uhakika wa kilichoandikwa? Huwa ni wavivu wa kusoma au ni nini? Nimekuta kibao hata Manispaa kwangu eti kameandika SEKONDALI Badala ya SEKONDARI hadi nimeona aibu! Nyie watumishi wa Manispaa ya Shinyanga kama mmo humo naomba hicho kibao mkaking'oe mwandike upya!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Huwa nawashangaa sana watumishi wa serikali. Hivi kwa nini wanapenda kuandika vitu na kiviweka public bila kufanya uhakika wa kilichoandikwa? Huwa ni wavivu wa kusoma au ni nini? Nimekuta kibao hata Manispaa kwangu eti kameandika SEKONDALI Badala ya SEKONDARI hadi nimeona aibu! Nyie watumishi wa Manispaa ya Shinyanga kama mmo humo naomba hicho kibao mkaking'oe mwandike upya!

Nilisikia wasukuma hawana "R" utawalaumu bure mkuu kaniki ni rangi yake.
 
Au nikunong'oneze pita hapo usiku ngoa limkibao uondoke nalo kama limekukera.....

Hahaha [emoji23][emoji23][emoji28] TAARIFA ya Moja.; Jamaa mmoja akamatwa nanyara ya sirikale
 
Back
Top Bottom