Hivi vitendo ni balance of nature..

Hivi vitendo ni balance of nature..

KENZY

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
32,529
Reaction score
76,691
Punyeto,
Ushoga,
Usagaji,

Kutokana na ongezeko kubwa la watu duniani na huku mazingira yakihitaji uwiano, vitendo hivyo vimeibuka ili kuifanya namba ya watu kuwiana na mazingira.

Si kwamba naunga mkono mambo hayo la hasha! ni mawazo tu!
Vitendo hivi vinasaidia katika balance of nature kutokana na manii zinazotoka katika matendo hayo hazipelekei kuundwa/kusababisha kuzaliwa kwa kiumbe kipya ambacho kitaongezeka katika mazingira.

Hazisababishi kuundwa kwa kiumbe kipya kwa sababu kwanza kwenye punyeto mara nyingi ni kitendo anachoshiriki mtu mmoja, hivyo hupelekea kutokuwepo kwa uwezekano wa utungwaji wa mimba.

Pia katika ushoga na usagaji ni vitendo vinavyohusisha watu wa jinsia moja, hivyo ni ngumu kwa watu hao kupelekea mimba.

Hebu fikiri kama hizo manii zilizopotea katika hayo matendo wangezaliwa watu mazingira yangeweza kuhimiri?

Hao watu wangehitaji
Chakula
Makazi
Mavazi n.k

Haya hayo ni mafikirio yangu yako je?
 
Ungewaza nje ya box. Kwani nani kakudanganya kila manii Ina uwezo wa kutungisha mimba?

Kwani mipira hakuna? Unaona ushoga,punyeto na usagaji ni njia ya kuzuia watu kuongezeka?

Nenda kasome theory moja ya Darwin inaitwa Theory of Evolution by Natural Selection.
Uone jinsi nature inavyoamua vitu unavyowaza kuliko kufanya huo ufuska.

USHOGA HAUVUMILIKI KWA NAMNA YEYOTE.
 
Ungewaza nje ya box. Kwani nani kakudanganya kila manii Ina uwezo wa kutungisha mimba?

Kwani mipira hakuna? Unaona ushoga,punyeto na usagaji ni njia ya kuzuia watu kuongezeka?

Nenda kasome theory moja ya Darwins inaitwa Natural Selection.
Uone jinsi nature inavyoamua vitu unavyowaza kuliko kufanya huo ufuska.

USHOGA HAUVUMILIKI KWA NAMNA YEYOTE.
nashkuru hapo mwishoni kwnye herufi kubwa hujaitaja nyeto mkuu, athante
 
Ungewaza nje ya box. Kwani nani kakudanganya kila manii Ina uwezo wa kutungisha mimba?

Kwani mipira hakuna? Unaona ushoga,punyeto na usagaji ni njia ya kuzuia watu kuongezeka?

Nenda kasome theory moja ya Darwin inaitwa Theory of Evolution by Natural Selection.
Uone jinsi nature inavyoamua vitu unavyowaza kuliko kufanya huo ufuska.

USHOGA HAUVUMILIKI KWA NAMNA YEYOTE.
kwani kila kitu lazima niambiwe/kudanganywa,hakuna alienidanganya.
najua sio kila manii lazima itunge mimba lkn hizo zenye uwezo si singeongeza people.
je unajua na hili ni miongoni mwa hayo niliyoyataja mwanamke kuwa na muda maalum wa kupata mtoto(hedhi).
kama ingekuwa wanauwezo wa kila wakati wa kushika mimba namba yetu ingekuwa kubwa zaidi.
 
Huu ni wakati wa kumwacha mtu binafsi aamue aishije. Unaposema punyeto, ushoga na usagaji havikubaliki unasema kwa niaba yako na sii kujifanya msemaji wa wote ilihali kila mtu anaamua aishije.

Kama wewe hupendi pombe wengine wanaipenda na haki yao maana hawaweki tumboni mwako na hawaingilii uhuru wako!

Cha muhimu ni kujikataza wewe mwenyewe kama unaona haifai unapiingilia maamuzi ya mtu binafsi ambayo hayakukuhusu na hayaingilii uhuru wako ni kujitoa ufahamu
 
The good way in thinking you have to think in postive and negative thinking.
 
Daaah nashkuru mungu cameron wa uingereza amejiuzulu.....USHOGA NA USAGAJI HAVIKUBALIKI KWA NAMNA YOYOTE ILE

Ha Ha Ha! Pole sana wadau washasign kitaaambo, we hujui kama muhimbili kuna kitengo chao????? Dunia inadrift kwenye kona ikijiandaa kumaliza race soooooon!
 
Eti "ni ngumu kupata mimba"
Yaani una suggest kuwa kuna uwezekanano wa shoga kupata mimba!!!???

Mugabe angekutia korokoroni.
 
Eti "ni ngumu kupata mimba"
Yaani una suggest kuwa kuna uwezekanano wa shoga kupata mimba!!!???

Mugabe angekutia korokoroni.
Kuna watu ni wagumu kuelewa duh! kazi kwelikweli
 
Punyeto,
Ushoga,
Usagaji,

Kutokana na ongezeko kubwa la watu duniani na huku mazingira yakiitaji uwiano, vitendo hivyo vimeibuka ili kuifanya namba ya watu kuwiana na mazingira.
Si kwamba naunga mkono mambo hayo la hasha! Ni mawazo tu!
Vitendo hivi vinasaidia ktk balance of nature kutokana na manii zinazotoka ktk matendo hayo hazipelekei kuundwa/kusababisha kuzaliwa kwa kiumbe kipya ambacho kitaongezeka ktk mazingira.
Hazisababishi kuundwa kwa kiumbe kipya coz kwanza kwenye punyeto mara nyingi ni kitendo anachoshiriki mtu mmoja,hivyo hupelekea kutokuwepo kwa uwezekano wa utungwaji wa mimba.
Pia ktk ushoga na usagaji ni vitendo vinavyohusisha watu wa jinsia moja,hivyo ni ngumu kwa watu hao kupelekea mimba.

Hebu fikiri kama hizo manii zilizopotea ktk hayo matendo wangezaliwa watu mazingira yangeweza kuhimiri..?
Hao watu wangehitaji
Chakula
Makazi
Mavazi n.k

Haya hayo ni mafikirio yangu yako je..?
Mkuu somehow sounding...am a naturalist...mambo mengine ni nature ingawa siyo yote yanatu favor.
 
Hii dunia ya wanadamu wa ajabu sana ktk imani.... Eti mtu anasema mwache mtu ajichagulie maisha anayoyapenda.... Yaani mwanaume kuingiliwa na mwanaume mwenzake ni uhuru wa kujiamulia kuishi atakavyo...???.. Muogopeni mungu jamani.... Khaaa... [emoji45][emoji19][emoji19][emoji19][emoji19]
 
Back
Top Bottom