Hivi vitendo ni balance of nature..

Hivi vitendo ni balance of nature..

Huu ni wakati wa kumwacha mtu binafsi aamue aishije. Unaposema punyeto, ushoga na usagaji havikubaliki unasema kwa niaba yako na sii kujifanya msemaji wa wote ilihali kila mtu anaamua aishije.

Kama wewe hupendi pombe wengine wanaipenda na haki yao maana hawaweki tumboni mwako na hawaingilii uhuru wako!

Cha muhimu ni kujikataza wewe mwenyewe kama unaona haifai unapiingilia maamuzi ya mtu binafsi ambayo hayakukuhusu na hayaingilii uhuru wako ni kujitoa ufahamu
Swala si kuamua tu uishije, pia kuzingatia miiko maadili na kuwa na kiasi, bila hivyo kutunzwa na kuzingatiwa na wazazi wetu, hata wewe hwenda usingekuwepo!! Fikiri kama mzazi wako mmojawapo angeamua kuishi tu kwa kujiamulia kufanya anayoyataka, na akaangukia katika kundi moja wapo ya hayo!!!! Je, ungekuwepo leo!!!?
 
Swala si kuamua tu uishije, pia kuzingatia miiko maadili na kuwa na kiasi, bila hivyo kutunzwa na kuzingatiwa na wazazi wetu, hata wewe hwenda usingekuwepo!! Fikiri kama mzazi wako mmojawapo angeamua kuishi tu kwa kujiamulia kufanya anayoyataka, na akaangukia katika kundi moja wapo ya hayo!!!! Je, ungekuwepo leo!!!?
Kwani ilikuwa ni lazima niwepo?
 
Kwa wazazi wako ilikuwa lazima wakuzae, wewe hukuwa na chance ya kuchagua!! Wao walizingatia na ndio maana wakakupata... Au unaniambia hujionei umuhimu wowote kuzaliwaa?
Elewa msingi wa swali kijana!
 
Punyeto,
Ushoga,
Usagaji,

Kutokana na ongezeko kubwa la watu duniani na huku mazingira yakihitaji uwiano, vitendo hivyo vimeibuka ili kuifanya namba ya watu kuwiana na mazingira.

Si kwamba naunga mkono mambo hayo la hasha! ni mawazo tu!
Vitendo hivi vinasaidia katika balance of nature kutokana na manii zinazotoka katika matendo hayo hazipelekei kuundwa/kusababisha kuzaliwa kwa kiumbe kipya ambacho kitaongezeka katika mazingira.

Hazisababishi kuundwa kwa kiumbe kipya kwa sababu kwanza kwenye punyeto mara nyingi ni kitendo anachoshiriki mtu mmoja, hivyo hupelekea kutokuwepo kwa uwezekano wa utungwaji wa mimba.

Pia katika ushoga na usagaji ni vitendo vinavyohusisha watu wa jinsia moja, hivyo ni ngumu kwa watu hao kupelekea mimba.

Hebu fikiri kama hizo manii zilizopotea katika hayo matendo wangezaliwa watu mazingira yangeweza kuhimiri?

Hao watu wangehitaji
Chakula
Makazi
Mavazi n.k

Haya hayo ni mafikirio yangu yako je?

Hicho ilichoandika ni sahihi na nisehemu ndogo sana katika mambo yanayoendelea ktk hii dunia kwa kukuongezea maarifa nenda google tafuta vitabu vifuatavyo

Killing us soft
Depopulation of planet
Food without poison

Utaona mengi ya ajabu humo mkuu
 
Tatizo watu mnadhani kuwa ushoga no jinsi mt u anaamua yeye mwenyew....sio kweli kuna influence kubwa behind a bout lesbiany...kwanza kabisa make mkijue kuwa watu hao wanapata sponsor of money from US america na kuna mkakati kabamve was kila mkuu was nchi yoyote duniani kuruhusu hiyo kitu by any means unless otherwise hatakubaliwa kupata misaada ya a in a yoyote ile pia hataweza kuinia kwenye umoja was baraza LA umoja was mataifa kwa hiyo ikubali usikubali kuna watu wanacontrol uchumi na maisha yako yote so lazima uishi kwa misingi wanayotaka wew....kwa mfano unajua sir I kubwa iliyo nyuma ya pazia kuwa kwanini marekani ilikatia msaada was tirion 3.2 Tanzania bad a ya magufuri kuingia madarakani...??

The big reason no kwamba jamaaa aliingia na mifumo take but gafla alikuta kuna mikataba nyeti ya siri juu ya nchi hii inavyoongozwa ..soo na ukae ukijua kuwa hakuna nchi yoyote ile ambayo iko well financia stable hata america inafadhiliwa na hizo familia 13 kubwa zenye power kubwa duniani kwa hiyo misaada is inevitable katika kuendesha maisha ya nchi ..fikiria wewe mwenyew tu unaishi kwa madeni na huwez ishi bila madeni so hiyo no kawaida...so kwa hiyo jamaa alikuta mikataba migumu sana ambayo ilimlazimu avunje uanachana wa kuchukua misaada america lakini akadhani ataweza kuiendesha nchi hii kwa kodi za TRA lakini hebu angalia depression iliyotokea ndani ya miezi miwil tangu america isitishe msaada wake was tirion 3.2 ...kwa hiyo imefikia mahali jamaaa iebidi a surrender na tayar ashamwaga wino tayr na anajaribu kulisoma taifa ili aingie na falsafa IPI ili iww spread haraka....na haya tote lazima yatimie kwa namba yoyote na nawashangaaa Sana'a mnaobishi kuwa haiwezekani...mulizeni mseveni huko tayr ashatia amri kimya kimya...so my dear brothers haya mambo ni kwa hisani za watu wa American lesbianistic project under Rockefeller foundation na ukitaka kuamini hawa jamaa wanapower kubwa sana..hizo gari zote unazoziona zimeandikwa DFP ndo wao wanazisaidia nchi maskini kwa hiyo ndo mana mtaongea sana na hamtamsikia magufuri hata siku moja akiongelea swala la ushoga he knows the task undertaking behind...

Kama kweli ushoga ni illegal imekuwaje muhimbili tena hospital I ya taifa kuna kitengo tena wanapewa na kugawiwa jelly special za KY kwa ajili ya hiyo kazi..na yule jamaa aliyekuwa anahojiwa na Zamalad mketema clouds alipewa mpunga mrefu ili aje apromote ile kitu na uongozi wa clouds walipigwa pesa ndefu sana kufanya mahojiano ya yule MTU japo no ngumu wao kukwambia ukweli..but the reason is open ..
So pesa ndo inayofanya hayo yote...

Wanaana pesa ili owe ngumu kuipata ili wakupe mashart magum uyafanye ndo upewe pesa..na sasa hivi wamekuja na slogan moja inasema "people have to be controlled either by force or dictatorship rule no mater how they are..." so prepare well na hiyo kitu na ukitaka kuamini wenzetu wazungu walishakubali kitambo na hats south Africa walishakubali kitambi ndo mama maisha ya uko ni mazuri bats bata Ibiza,miami,tommorroland,hadi Paris no bata tu....sio kwamba nasapot no nakupa real acts uzifanyie kazi na usikalie kulalamika na ujiulize kati ya wazungu na wewe mweusi nan kaanza kuwa civilised kama sio wao kwa hiyo wale washajua dunia inaenda wap na wao ndo wangekuwa wa kwanza kukataaa na tungekuwa tunawaona wakifanya movement za kukataa lakini wapo kimya washaruhusuvyote kwao halafu wewe nyani mweusi ambae unaishi kwa uwezo namisaada yao Leo Hi unapanua mdomo na kujifanya unabishi ...kaaaaah...wait usubiri kupumuliwa na hakuna namba labda kufa mapema...tulien haya mambo yaa unabii yatimie..unakuta mtu anaishi tu hats hujui nchi inavoongozwa unakalia kupanua domo et ushaga haukubaliki ..shenzi..kwanii wazungu hawalioni hilo..?? Mimi binafsi natamni hata kupingana na hii kitu lakini ndo hivo
 
Tatizo watu mnadhani kuwa ushoga no jinsi mt u anaamua yeye mwenyew....sio kweli kuna influence kubwa behind a bout lesbiany...kwanza kabisa make mkijue kuwa watu hao wanapata sponsor of money from US america na kuna mkakati kabamve was kila mkuu was nchi yoyote duniani kuruhusu hiyo kitu by any means unless otherwise hatakubaliwa kupata misaada ya a in a yoyote ile pia hataweza kuinia kwenye umoja was baraza LA umoja was mataifa kwa hiyo ikubali usikubali kuna watu wanacontrol uchumi na maisha yako yote so lazima uishi kwa misingi wanayotaka wew....kwa mfano unajua sir I kubwa iliyo nyuma ya pazia kuwa kwanini marekani ilikatia msaada was tirion 3.2 Tanzania bad a ya magufuri kuingia madarakani...??

The big reason no kwamba jamaaa aliingia na mifumo take but gafla alikuta kuna mikataba nyeti ya siri juu ya nchi hii inavyoongozwa ..soo na ukae ukijua kuwa hakuna nchi yoyote ile ambayo iko well financia stable hata america inafadhiliwa na hizo familia 13 kubwa zenye power kubwa duniani kwa hiyo misaada is inevitable katika kuendesha maisha ya nchi ..fikiria wewe mwenyew tu unaishi kwa madeni na huwez ishi bila madeni so hiyo no kawaida...so kwa hiyo jamaa alikuta mikataba migumu sana ambayo ilimlazimu avunje uanachana wa kuchukua misaada america lakini akadhani ataweza kuiendesha nchi hii kwa kodi za TRA lakini hebu angalia depression iliyotokea ndani ya miezi miwil tangu america isitishe msaada wake was tirion 3.2 ...kwa hiyo imefikia mahali jamaaa iebidi a surrender na tayar ashamwaga wino tayr na anajaribu kulisoma taifa ili aingie na falsafa IPI ili iww spread haraka....na haya tote lazima yatimie kwa namba yoyote na nawashangaaa Sana'a mnaobishi kuwa haiwezekani...mulizeni mseveni huko tayr ashatia amri kimya kimya...so my dear brothers haya mambo ni kwa hisani za watu wa American lesbianistic project under Rockefeller foundation na ukitaka kuamini hawa jamaa wanapower kubwa sana..hizo gari zote unazoziona zimeandikwa DFP ndo wao wanazisaidia nchi maskini kwa hiyo ndo mana mtaongea sana na hamtamsikia magufuri hata siku moja akiongelea swala la ushoga he knows the task undertaking behind...

Kama kweli ushoga ni illegal imekuwaje muhimbili tena hospital I ya taifa kuna kitengo tena wanapewa na kugawiwa jelly special za KY kwa ajili ya hiyo kazi..na yule jamaa aliyekuwa anahojiwa na Zamalad mketema clouds alipewa mpunga mrefu ili aje apromote ile kitu na uongozi wa clouds walipigwa pesa ndefu sana kufanya mahojiano ya yule MTU japo no ngumu wao kukwambia ukweli..but the reason is open ..
So pesa ndo inayofanya hayo yote...

Wanaana pesa ili owe ngumu kuipata ili wakupe mashart magum uyafanye ndo upewe pesa..na sasa hivi wamekuja na slogan moja inasema "people have to be controlled either by force or dictatorship rule no mater how they are..." so prepare well na hiyo kitu na ukitaka kuamini wenzetu wazungu walishakubali kitambo na hats south Africa walishakubali kitambi ndo mama maisha ya uko ni mazuri bats bata Ibiza,miami,tommorroland,hadi Paris no bata tu....sio kwamba nasapot no nakupa real acts uzifanyie kazi na usikalie kulalamika na ujiulize kati ya wazungu na wewe mweusi nan kaanza kuwa civilised kama sio wao kwa hiyo wale washajua dunia inaenda wap na wao ndo wangekuwa wa kwanza kukataaa na tungekuwa tunawaona wakifanya movement za kukataa lakini wapo kimya washaruhusuvyote kwao halafu wewe nyani mweusi ambae unaishi kwa uwezo namisaada yao Leo Hi unapanua mdomo na kujifanya unabishi ...kaaaaah...wait usubiri kupumuliwa na hakuna namba labda kufa mapema...tulien haya mambo yaa unabii yatimie..unakuta mtu anaishi tu hats hujui nchi inavoongozwa unakalia kupanua domo et ushaga haukubaliki ..shenzi..kwanii wazungu hawalioni hilo..?? Mimi binafsi natamni hata kupingana na hii kitu lakini ndo hivo
Mkuu umeongea mengi lakini nina maswali kwako je, unaambiwa kubali ushoga na usagaji ili upate misaada je ukishaikubali na wameshakupa pesa zao na watu ndio washaanza kusagana wao pesa yao inarudi vipi ??
 
Mkuu umeongea mengi lakini nina maswali kwako je, unaambiwa kubali ushoga na usagaji ili upate misaada je ukishaikubali na wameshakupa pesa zao na watu ndio washaanza kusagana wao pesa yao inarudi vipi ??
Mkuu samahan lkn tu labd kwa mawazo yang ningemjibia jamaa kuwa hizo societies zinazotaka kuitawala Dunia zinaplan ya muda mrefu na wao pesa kwao sio tatzo bali wanatanga lengo lao litimie la kuwadumaza walimwengu wengine kwa kuintroduce vitu km hizo then at the end of the day ukikubali moja linaibuka jingine na kadr watu wanavyopig kelele kuzungumzia mamb yanayoonekana hayafai kwny jamii ndivyo wanavyoyapromote yanaonekana ya kawaida so wanaojiingiz uko ni weng zaid so hayo ndo wanatak yaendelee kutumaliz watu taratibu wakishaakuwa tayari kutawala directly kama ambavyo wameaanz saiv inderect hakuna atakaye kuwa na uwezo wa kupingana nao coz tayari watakuwa wameshashikilia mifumo yote ya Dunia. That are my thoughts though
 
Hivyo vitendo vimeletwa na watu wanaojiandaa kutawala Dunia kwa sheria mpya ya Dunia. Lengo lao la kwanza ni kupunguza idadi ya watu ili watawaliwa wawe wachache.
We huoni hapo kama wanaisaidia nature kuwa balance,hata kama wanatawala
 
Hili swala la ushoga inaonekana kama ndo imekuwa the main topic here, mpaka na maswala ya utawala yamefika okay it fine..!
lkn me lichojaribu kuelezea hapa kwamba haya mambo yanasaidia ktk balance of nature hasa ktk population.
no matter what kwamba yameletwa na watawala but yanafanikisha kitu fulani...

vitu kama vita kwanini vinatokea..? kwa binadamu ni kutoelewana wao kwa wao that why wanaingia kwenye mapigano lkn ushajiuliza ktk mazingira hii kitu inamaanisha nini..? no matter what imekujajekujaje
mahala palipo na amani watu huzaliana kwa wingi.
 
Swala si kuamua tu uishije, pia kuzingatia miiko maadili na kuwa na kiasi, bila hivyo kutunzwa na kuzingatiwa na wazazi wetu, hata wewe hwenda usingekuwepo!! Fikiri kama mzazi wako mmojawapo angeamua kuishi tu kwa kujiamulia kufanya anayoyataka, na akaangukia katika kundi moja wapo ya hayo!!!! Je, ungekuwepo leo!!!?
Si ungezaliwa na mzazi mwingine
 
Hili swala la ushoga inaonekana kama ndo imekuwa the main topic here, mpaka na maswala ya utawala yamefika okay it fine..!
lkn me lichojaribu kuelezea hapa kwamba haya mambo yanasaidia ktk balance of nature hasa ktk population.
no matter what kwamba yameletwa na watawala but yanafanikisha kitu fulani...

vitu kama vita kwanini vinatokea..? kwa binadamu ni kutoelewana wao kwa wao that why wanaingia kwenye mapigano lkn ushajiuliza ktk mazingira hii kitu inamaanisha nini..? no matter what imekujajekujaje
mahala palipo na amani watu huzaliana kwa wingi.

Kama utakuwa unaamini ktk imani yoyote ya dini hili jambo haliwezi kuwa sahihi???
 
Huu ni wakati wa kumwacha mtu binafsi aamue aishije. Unaposema punyeto, ushoga na usagaji havikubaliki unasema kwa niaba yako na sii kujifanya msemaji wa wote ilihali kila mtu anaamua aishije.

Kama wewe hupendi pombe wengine wanaipenda na haki yao maana hawaweki tumboni mwako na hawaingilii uhuru wako!

Cha muhimu ni kujikataza wewe mwenyewe kama unaona haifai unapiingilia maamuzi ya mtu binafsi ambayo hayakukuhusu na hayaingilii uhuru wako ni kujitoa ufahamu
mwana we Punga nini??? Ushoga haukubaliki, koma!
 
Back
Top Bottom