Hivi vitu tunavidharau, vinakuja kututesa sana

Hivi vitu tunavidharau, vinakuja kututesa sana

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
Wale ambao wazazi walitusimamia na wakatufundisha hardwok, nidhamu, kuwa busy na mambo yako.

Lakini mitaani maofisini na kila maeneo unakuja kugundua kumbe hardworking alone sio dawa.

Watu mitaani na maofisini wana vipaji vya ajabu kwenye kujipendekeza unafiki, fitina kuchafua wengine n.k...
 
Acha tu mkuu,yaan kuna watu wamepewa kipaj cha juu sanaa cha unafik na kujipendekeza,juz kat kuna jamaa tunapiga nae site,alipandishwa cheo akatuona sisi wa chin yake kama takataka fln iv,ukienda kwake kupata huduma anakuangalia kama bata iv,wana tukasema haina shida,muda ni ukuta,juzi ikasemekana kuna hela imepigwa na yy kahusishwa moja kwa moja na kutolewa ofsn mule,sasa amerud kwa wana yaan ni full aibu na kutengeneza mazingira ya kujirudi ila washkaji tukaamua kumlia ngumu hamna salaam wala nini,kwa aibu alizonazi kwa sasa anataman hata kazi aache ila ndo ivo hana hata plan B....ila nmegundua kuwa mjaluo na mhaya +mkurya kupewa kitengo sehem ni janga kwa walio chini'niwie radhi kwa kutaja hayo makabila,najua wapo ambao hawana shida na wametokea huko ila wengi wao ni kero aysee
 
Mkuu ujue kutofautiana kimaumbile na kitabia miongoni mwetu ndio huleta hii ladha halisi ya maisha kwenye huu ulimwengu.

Hapo sasa ni hiyari yako wewe kukubali kubadilika kuendana na mazingira yaani na wewe uanze kuwa mtu wa kujipendekeza na mnafiki kama wao, au kuyabadili hayo mazingira ya kujipendekeza na kinafiki yaendane na wewe.
 
Ndiyo maana maofisini kuna appraisals, kabla mtu hajapanda dararaja boss wake lazima akae nae na kujadkili performance yake. Kama ilileta tija katika taasisi tangu ajira au appraisal ya mwisho. Sasa kama boss unamkopesha hela ya bia au ni mchepuko. Msitegemee performance kwenye taasisi.
 
kabla ya kuwafundisha watoto wewe mzazi umeitumiaje hiyo elimu? maana watanzania sisi wote ni walimu au wasemaji! wewe mzazi ukiyaishi na ukafanikiwa basi mtoto anakua ameshapata somo practically! isije kuwa unamfundisha mtoto kitu ambacho wewe mzazi kimekushinda..maneno tuu mengi (kama wengi wetu)
 
Kwa hiyo unapendekeza wazazi wafundishe na hayo?
 
On a serious note, inabidi tuwajenge watoto wetu Tena tuwajenge hasa, psychologically. Self esteem ni janga la kitaifa na ukiangalia wengi wa hawa 'maboya' ni watu ambao hawajiamini na hivyo hupelekea kuwa wenye roho mbaya na hapo kuanza kuwachongea wenzao ambao wanahisi wapo vizuri zaidi yao in terms of money, status or intelligence.

Inabidi tuwafundishe watoto wetu kujiamini na kukubali capacity yao. Someone will always be better than us in all the aspects stated before. Money, status and even intelligence, therefore we should be content in who we are and should we ever need to compete, then we should compete against ourselves, against who we were yesterday.

Sisemi we should not compete amongst ourselves, no. Yardstick ya kupima who or what we should compete against haitakiwi igubikwe na chili, wivu, fitna etc. Tuwafundishe kukubali kwamba katika mashindano kuna kupata na kukosa na katika kupata na kukosa it doesn't make you a lesser human being instead we should appreciate what we have and where we are in life.

Pia tuwafundishe kuhusu hela, mali, utajiri, vyeo, status, etc Hivi vitu havitakiwi kuwa ndo cipimo Cha ubinaadamu wetu. Hivi ni vitu tu vya kufanya maisha yaendelee lakini hayafai kuwa substitution ya ubinaadamu.

It is going to be a long and difficult journey but if we all aspire to change we can do it.
 
Mi kuna MTU kanikalia koo mbayaa,ivi nawaza sijui nimnyonye mavi maana kama nachoka mvumilia aisee!!!
 
On a serious note, inabidi tuwajenge watoto wetu Tena tuwajenge hasa psychologically. Self esteem ni janga la kitaifa na ujiangalia wengi wa hawa 'maboya' ni watu ambao hawajiamini na hivyo hupelekea kuwa wenye roho mbaya na hapo kuanza kuwachingea wenzao ambao wanahisi wapo vizuri zaidi yao in terms of money, status or intelligence.

Inabidi tuwafundishe watoto wetu kujiamni na kubali capacity yao. Someone will always be better than us in all aspect stated before. Money, status and even intelligence therefore we should be content in who we are and should we ever need to compete, then we should compete against ourselves, against who we were yesterday.

Sisemi we should not compete amongst ourselves, no. Yardstick ya kupima who or what we should compete against haitakiwi igubikwe na chili, wivu fitna etc. Tuwafundishe kubali kwamba katika mashindano kuna kupata na kukosa na katika kupata na kukosa it doesn't make you a lesser human being

Pia tuwafundishe kuhusu hela, mali, utajiri, vyeo, status, etc Hivi vitu havitakiwi kuwa ndo kipimo Cha ubinaadamu wetu. View ni vitu tu vya kufanya maisha yaendelee lakini hayafai kuwa substitution ya ubinaadamu.

It is going to be a long and difficult journey but if we all aspire to change we can do it.

Mimi huwa nakereka sana nikiona watu wazima wanafanya ass licking Kwa mtu sababu ya cheo au pesa...
 
Wale ambao wazazi walitusimamia
Na wakatufundisha
Hardwok..
Nidham .
Kuwa busy na mambo yako..

Lakini mitaani..maofisin na kila maeneo
Unakuja kugundua kumbe hardworking alone sio dawa..

Watu mitaani na maofisin Wana vipaji vya ajabu kwenye
Kujipendekeza..
Unafiki..
Fitina
Kuchafua wengine n.k...
kuajiriwa ni utumwa.
ili uepuke yote hayo ni bora ukajiajiri, fanya biashara kisha gombea ubunge, utaishi raha mustarehe.
 
Back
Top Bottom