Hivi vitu tunavidharau, vinakuja kututesa sana

Hivi vitu tunavidharau, vinakuja kututesa sana

Kwa sababu mambo mengi ya wabongo ni magumashi na shortcuts ndio maana watu wanajipendekeza sana kwa wenye mamlaka
Mimi huwa nakereka sana nikiona watu wazima wanafanya ass licking Kwa mtu sababu ya cheo au pesa...
 
Hata sijui but naona tufundishe watoto namna ya Ku deal na mazingira yote
Wasitegemee Tu kuwa fair na hardworking..
Wasije kuwa frustrated

Niliwaza hivi siku moja
Dunia haina usawa,kuna mazingira ukimfundisha mtoto utamuumiza
Lucky for me wazazi wangu walinifundisha njia nyingi
Nakumbuka nimewahi kuambiwa usikubali kuonewa,mtu akikuzingua mzingue etc so kiukweli nilikuwa na kiubabe flani hivi lakini hii hali ilinisaidia sana
Wanangu nategemea kuwafundisha pia hii dunia si ya wanyonge haina usawa
 
Ukiona mtu mnafiki eneo la kazi jua ni mbumbumbu.
Ukiona anakunafikia jua ww unakiwango kizur kumzid na anaogopa usimzidi zaid
 
On a serious note, inabidi tuwajenge watoto wetu Tena tuwajenge hasa, psychologically. Self esteem ni janga la kitaifa na ukiangalia wengi wa hawa 'maboya' ni watu ambao hawajiamini na hivyo hupelekea kuwa wenye roho mbaya na hapo kuanza kuwachongea wenzao ambao wanahisi wapo vizuri zaidi yao in terms of money, status or intelligence.

Inabidi tuwafundishe watoto wetu kujiamini na kukubali capacity yao. Someone will always be better than us in all the aspects stated before. Money, status and even intelligence, therefore we should be content in who we are and should we ever need to compete, then we should compete against ourselves, against who we were yesterday.

Sisemi we should not compete amongst ourselves, no. Yardstick ya kupima who or what we should compete against haitakiwi igubikwe na chili, wivu, fitna etc. Tuwafundishe kukubali kwamba katika mashindano kuna kupata na kukosa na katika kupata na kukosa it doesn't make you a lesser human being instead we should appreciate what we have and where we are in life.

Pia tuwafundishe kuhusu hela, mali, utajiri, vyeo, status, etc Hivi vitu havitakiwi kuwa ndo cipimo Cha ubinaadamu wetu. Hivi ni vitu tu vya kufanya maisha yaendelee lakini hayafai kuwa substitution ya ubinaadamu.

It is going to be a long and difficult journey but if we all aspire to change we can do it.

Upo sahihi
Kuna watu unakutana nao hawana confidence mpaka kwenye vitu muhimu kuwahusu wao mpaka huwa najiuliza wanaishije
Ni balaa I wish ningesema mengi but watanzania wengi wanauhitaji wa psychological help kutokana na malezi na mazingira tulio kulia
 
Wale ambao wazazi walitusimamia
Na wakatufundisha
Hardwok..
Nidham .
Kuwa busy na mambo yako..

Lakini mitaani..maofisin na kila maeneo
Unakuja kugundua kumbe hardworking alone sio dawa..

Watu mitaani na maofisin Wana vipaji vya ajabu kwenye
Kujipendekeza..
Unafiki..
Fitina
Kuchafua wengine n.k...
You do everything by the book and play by the rules. Unasoma kwa bidii, una nidhamu and a strong work ethic. Ila haitoshi.

It doesn't pay playing by the rules hii nchi! SMH
 
kabla ya kuwafundisha watoto wewe mzazi umeitumiaje hiyo elimu? maana watanzania sisi wote ni walimu au wasemaji! wewe mzazi ukiyaishi na ukafanikiwa basi mtoto anakua ameshapata somo practically! isije kuwa unamfundisha mtoto kitu ambacho wewe mzazi kimekushinda..maneno tuu mengi (kama wengi wetu)
Hili nalo neno!
 
Wale ambao wazazi walitusimamia na wakatufundisha hardwok, nidhamu, kuwa busy na mambo yako.

Lakini mitaani maofisini na kila maeneo unakuja kugundua kumbe hardworking alone sio dawa.

Watu mitaani na maofisini wana vipaji vya ajabu kwenye kujipendekeza unafiki, fitina kuchafua wengine n.k...
Daaah! Pole sana mkuu kwa yaliyokukuta.
 
Back
Top Bottom