Mimi huwa nakereka sana nikiona watu wazima wanafanya ass licking Kwa mtu sababu ya cheo au pesa...
Si ndo hawa 'chawa' tunawaona.Mimi huwa nakereka sana nikiona watu wazima wanafanya ass licking Kwa mtu sababu ya cheo au pesa...
Hata sijui but naona tufundishe watoto namna ya Ku deal na mazingira yote
Wasitegemee Tu kuwa fair na hardworking..
Wasije kuwa frustrated
On a serious note, inabidi tuwajenge watoto wetu Tena tuwajenge hasa, psychologically. Self esteem ni janga la kitaifa na ukiangalia wengi wa hawa 'maboya' ni watu ambao hawajiamini na hivyo hupelekea kuwa wenye roho mbaya na hapo kuanza kuwachongea wenzao ambao wanahisi wapo vizuri zaidi yao in terms of money, status or intelligence.
Inabidi tuwafundishe watoto wetu kujiamini na kukubali capacity yao. Someone will always be better than us in all the aspects stated before. Money, status and even intelligence, therefore we should be content in who we are and should we ever need to compete, then we should compete against ourselves, against who we were yesterday.
Sisemi we should not compete amongst ourselves, no. Yardstick ya kupima who or what we should compete against haitakiwi igubikwe na chili, wivu, fitna etc. Tuwafundishe kukubali kwamba katika mashindano kuna kupata na kukosa na katika kupata na kukosa it doesn't make you a lesser human being instead we should appreciate what we have and where we are in life.
Pia tuwafundishe kuhusu hela, mali, utajiri, vyeo, status, etc Hivi vitu havitakiwi kuwa ndo cipimo Cha ubinaadamu wetu. Hivi ni vitu tu vya kufanya maisha yaendelee lakini hayafai kuwa substitution ya ubinaadamu.
It is going to be a long and difficult journey but if we all aspire to change we can do it.
You do everything by the book and play by the rules. Unasoma kwa bidii, una nidhamu and a strong work ethic. Ila haitoshi.Wale ambao wazazi walitusimamia
Na wakatufundisha
Hardwok..
Nidham .
Kuwa busy na mambo yako..
Lakini mitaani..maofisin na kila maeneo
Unakuja kugundua kumbe hardworking alone sio dawa..
Watu mitaani na maofisin Wana vipaji vya ajabu kwenye
Kujipendekeza..
Unafiki..
Fitina
Kuchafua wengine n.k...
Hili nalo neno!kabla ya kuwafundisha watoto wewe mzazi umeitumiaje hiyo elimu? maana watanzania sisi wote ni walimu au wasemaji! wewe mzazi ukiyaishi na ukafanikiwa basi mtoto anakua ameshapata somo practically! isije kuwa unamfundisha mtoto kitu ambacho wewe mzazi kimekushinda..maneno tuu mengi (kama wengi wetu)
Daaah! Pole sana mkuu kwa yaliyokukuta.Wale ambao wazazi walitusimamia na wakatufundisha hardwok, nidhamu, kuwa busy na mambo yako.
Lakini mitaani maofisini na kila maeneo unakuja kugundua kumbe hardworking alone sio dawa.
Watu mitaani na maofisini wana vipaji vya ajabu kwenye kujipendekeza unafiki, fitina kuchafua wengine n.k...