Wamejipanga sana hawa jamaa aisee..wanasemaga mjini wamekuja kutafuta tu lakini nyumbani ni Moshi. Hii inawafanya kuendelea kuendeleza nyumbani ikiwa ni pamoja na kujenga majumba yakiwemo maghorofa, hamu ya kurudi nyumbani hapo lazima iwepo tu.
Jingine ni kwamba wazee wa kichaga kuhamia kwa watoto wao mjini eti kisa ana Mali hilo kwao ni mwiko, atakuja kwa shughuli maalum au kutibiwa akimaliza anamwambia ngoja nikaangalie kule mgombani kwangu kusije kuharibika mwanangu.
Hiyo barabara inabomolewa kupisha ujenzi wa SGR (standard gauge Road) , sijui mtapita wapi. bado mna ujeuri!
View attachment 657629View attachment 657630View attachment 657631View attachment 657632
Wanaenda na magari ya Eicher
Vyuma vimekaza kweli, hao wachaga wanaenda kwao kuchua grisi ya kulegeza vyuma
Ni noma!