Hivi vyuma havijakaza hata kwa wachaga?



Sure
 
Hawa shemeji zangu,ni moto wa kuotea mbali,na kejeli zote kutoka kwa wakina ngosha,hawa jamaa wa Kilimanjaro,ni noma sana,usukumani mtasubili sana,kuwafikia,
Asubuhi ya Leo nimekutana na magari kibao,maeneo ya bunju,nikasema watu wanaenda kula sikukuu bagamoyo?nikaambiwa hiyo safari ya Arusha/Kilimanjaro !!!
Kama kila mkoa ungekuwa na wachaga lakimoja,nchivingekuwa mbali,
Bwasheeeee!!!!
 
Vyuma vimekaza kweli, hao wachaga wanaenda kwao kuchua grisi ya kulegeza vyuma

[emoji56][emoji56][emoji56][emoji56][emoji1487][emoji1487][emoji1487]umetisha mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…