Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Wamejipanga sana hawa jamaa aisee..wanasemaga mjini wamekuja kutafuta tu lakini nyumbani ni Moshi. Hii inawafanya kuendelea kuendeleza nyumbani ikiwa ni pamoja na kujenga majumba yakiwemo maghorofa, hamu ya kurudi nyumbani hapo lazima iwepo tu.
Jingine ni kwamba wazee wa kichaga kuhamia kwa watoto wao mjini eti kisa ana Mali hilo kwao ni mwiko, atakuja kwa shughuli maalum au kutibiwa akimaliza anamwambia ngoja nikaangalie kule mgombani kwangu kusije kuharibika mwanangu.
Sure