Hivi vyuma havijakaza hata kwa wachaga?

Hivi vyuma havijakaza hata kwa wachaga?

Wamejipanga sana hawa jamaa aisee..wanasemaga mjini wamekuja kutafuta tu lakini nyumbani ni Moshi. Hii inawafanya kuendelea kuendeleza nyumbani ikiwa ni pamoja na kujenga majumba yakiwemo maghorofa, hamu ya kurudi nyumbani hapo lazima iwepo tu.

Jingine ni kwamba wazee wa kichaga kuhamia kwa watoto wao mjini eti kisa ana Mali hilo kwao ni mwiko, atakuja kwa shughuli maalum au kutibiwa akimaliza anamwambia ngoja nikaangalie kule mgombani kwangu kusije kuharibika mwanangu.


Sure
 
Hawa shemeji zangu,ni moto wa kuotea mbali,na kejeli zote kutoka kwa wakina ngosha,hawa jamaa wa Kilimanjaro,ni noma sana,usukumani mtasubili sana,kuwafikia,
Asubuhi ya Leo nimekutana na magari kibao,maeneo ya bunju,nikasema watu wanaenda kula sikukuu bagamoyo?nikaambiwa hiyo safari ya Arusha/Kilimanjaro !!!
Kama kila mkoa ungekuwa na wachaga lakimoja,nchivingekuwa mbali,
Bwasheeeee!!!!
 
Vyuma vimekaza kweli, hao wachaga wanaenda kwao kuchua grisi ya kulegeza vyuma

[emoji56][emoji56][emoji56][emoji56][emoji1487][emoji1487][emoji1487]umetisha mkuu
 
Back
Top Bottom