Hivi vyuo vya kati kuna bata kama vyuo vikuu

KIBUGAmk

Member
Joined
Jan 22, 2024
Posts
83
Reaction score
139
Tumezoea kusikia kwamba chuo ni bata sana kusoma kidogo na pia chuoni kuna warembo wengi( pisi kali ).sasa nilikuwa nauliza je hayo maneno yana ukweli na kama ni kweli je hali ipo hivyo hata katika vyuo vya kati au ni vyuo vikuu tu like UDOM,udsm etc...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…