Hivi wachawi wa JamiiForums hawawezi kuwaloga mods?

Hivi wachawi wa JamiiForums hawawezi kuwaloga mods?

Nauliza tu wanajamvi hivi wachawi wa JF kama vile mshana jr,rakims,mzizi mkavu na mtu mzito wanashindwa kuwaloga mods ili wasipewe ban?

Pia ni kweli hawawezi kupiga ramli kugundua id's za member mbalimbali wa humu mfano labda wameanzisha thread af mtu katumia id mpya ili amponde bila kujulikana kwa kutumia id yake iliyozoeleka?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom