Kama mawaziri wanataka rushwa, viongpzi wa CCM wanataka rushwa, unategemea wafanyakazi wengine wasitake rushwa?
Ofisi za Serikali na mahakama, kote huko ukienda uhakikishe umeandaa hela. Kadiri hela yako inavyozidi kuwa kubwa ndivyo watu watakavyohangaika na kuchacharika kukuhudumia.
CCM ndiyo iliyounda Serikali. CCM hupati nafasi hata ya kwenda kuoigiwa kura bila rushwa. Sasa hivi kwaajili ya kumpata spika wa Bunge, kila mgombea anahangaika kupata hela ya kuwapa wajumbe wa kamati kuu ili jina lake lipitishwe. Sasa huyo jina lake likipitishwa kwa kutoa rushwa, atakataa rushwa?
Tuna cha tawala cha rushwa, kilichounda serikali ya rushwa, iliyojaa watendaji wala rushwa.