Hivi Waganda wana tatizo gani?

Kaka umetema madini ile mbaya. Am not changing the topic ila niseme tu kuwa JPM anaucheza vizuri huu chezo only those with brain will understand him.
 
Sijui mtaacha lini ushamba nyie wakenya
Wamejaa hapa Kenya bro so sielewi unamaanisha Nini kuwa hawachanganyiki na watu wengine? Mganda akija Tz alafu uanze ze zez ze ze si unaona tayari atajiskia kubaguliwa.
 
Wengi wenu mnazungumza kwa Kiswahili so Waganda hawakielewi.
Acha ushamba na ulimbukeni wewe! No kigezo gani umetumia kujua waganda hawajichanganyi hapa JF kisa lugha? Unafahamu ID za waganda wangapi hapa JF? Wangapi wako angalau active kidogo kwenye mada za hiyo lugha unayoitukuza?

In short JF haina coverage kubwa Hasa kwa Jamii ya waganda maana wangekuwepo hapa wangekuwa na subforum yao na kujadili. Kama hii ya Kenya. Halafu mbona kuna mada za kiingereza kibao tu hapa? Na tena nyingine zinazungumzia maslahi ya E.A na UG in particular ila huwezi kuwaona hapa wakichangia.

Lugha haiwezi kuwa kikwazo maana hata hao waganda hatuwaoni hata wakichungulia tu hapa.
 
Basi Max aende apige promo NTV au UBC watajaa. Haiwezekani Besigye na Bob Wine wanamchana M7 namna ile kwenye NTV halafu wasitumie jf. Nadhani wengi hawaijui. Sisi ndio tunashoboka tunadhani tuna booooo nge la mtandao ambao haujawai tokea Africa na duniani kote.
 
Yaani hadi leo hii hujajua kwamba kuna forum ya Uganda hapa Jf?
 
N kwel n bonge la mtandao aisee. Hakuna Kama jf
 


Kwanza hata Wakenya wenyewe hawaijui jamiiforums, hawa waliojaa hapa aidha wanaishi TZ au wana ukaribu na TZ, lkn Mkenya wa kawaida haijui wala hafungui jamii forums.

Mimi huenda huko mara kwa mara, kwanza nilishangaa kuhusu TZ wanamjua Magufuli tu, wengi hawajawahi hata kumsikia Majaliwa, Mama Samia au hata Mbowe au sijui Tundu Lisu na Zito Kabwe.
 
Mtapiga kelele tu waganda wana asili ya kujiona tu kama walivyo wahindi na hii ni asili tu wala hawajifosi kua hivyo

Hata Wakenya pia hawaijui jamiiforums, hawa mnaobishana nao hapa aidha wanaishi hapa kwetu au wanadili na TZ kila siku. Huwa niko Kenya mara kwa mara, hivyo najua Mkenya wa kawaida haijui jamiiforums.
 
Hata Wakenya pia hawaijui jamiiforums, hawa mnaobishana nao hapa aidha wanaishi hapa kwetu au wanadili na TZ kila siku. Huwa niko Kenya mara kwa mara, hivyo najua Mkenya wa kawaida haijui jamiiforums.
Inawezekana ikawa kwel
 
Mkuu mbona unaenda nje ya mada,hapa tunazungumzia waganda wewe unaleta masifa ya wakenya...!
Msamehe bure, anauchungu sana na Tanzania huyo jamaa, baada ya kugundua Tanzania inawapiga bao kulia na kushoto, ameamua kuwa " bitter" na kujaribu kutumia kila chuki kujaribu kujiliwaza.

Ukabila umeisambaratisha Kenya, wakenya wenye akili timamu karibu wote wanasifia ni jinsi gani Tanzania imeweza kuunganisha nchi nzima kwa lugha ya Kiswahili na kuachana na lugha za makabila. Leo hii Magufuli anaweza kwenda popote na kuzungumza na wananchi bila kuhitaji mkalimani, hilo kwa Kenya haliwezikani.

Magufuli ameamua kubaki nchi ili kutatua matatizo ya wananchi, anazunguka nchi nzima, wakati Uhuru Kenyatta anazurura duniani na kukodi ndege za kifahari, wakati uchumi wa nchi unazidi kuzorota, deni la Kenya halilipiki, chakula hakuna, pesa za kulipa mishahara hakuna, migomo haikatiki, mfumuko wa bei unazidi kuongezeka, uliza safari za Uhuru Kenyatta zimesaidiaje kuongeza uzalishaji wa chakula na kupunguza being za UMEME na MAJI kwa wakenya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…