Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,432
- 25,124
Hongera rodi rofa mm kwangu lugha pekee ninayo thamini ni lugha ya logic basi mambo ya R L H kuchanganya siyo kitu cha msingi
Nyinyi ndiyo wale maprofesa feki mliojaa vyuoni kazi nikufuga ndevu wasomi wa Tanzania wana elimu ila hawana akili nikama kitabu tuMkuu
Upo hapa kutetea kugha mbovu?
Lugha mbovu ni kugha mbovu!
Haijalishi sijui kipato chako,lugha yako sio sanifu!
Lugha sanifu haina uhusiano na kipato chako!
By the way:
Rodi Rofa = Lodi Lofa
Sijui shule ulipitia wapi?
Ndio upumbavu huu wa shule za Magufuli
Nyinyi ndiyo wale maprofesa feki mliojaa vyuoni kazi nikufuga ndevu wasomi wa Tanzania wana elimu ila hawana akili nikama kitabu tu
Kitabu kinaelimu ila hakina akili
Ndiyo kama wewe your nothing
Kelele zilikua wa Tz ni ma drug lord, naona una badili maneno ili ya fit mazingira yako. Anyways mimi nimeshakutana na wakenya mazezeta wakutosha so hizi pang'ang'a zako naona unajifurahisha tu. Wakati fulani nilikua Ug watu waliokuwa wanaogopwa kwa ujanja walikua wa Tz mpaka ma askari walikua wanasema wa Tz mnajua sana kupanga maneno tunapo wakamata. Labda kama unaongelea usela mavi, kwa hilo wa Tz hatuna.Kutumika kama shehena la kubeba madawa sio kiashiria cha ujasiri ila ni utumwa na ujinga, maana unapeleka hayo mavitu kwa Wachina ukijua watuhumiwa wananyongwa huko.
Hapa naongea kuhusu ujasiri wa kujimix kwenye ndani ya watu wasio wa nchi yako na kuchakarika na kufanya mishe kwa njia halali.
mmmhhh strange !!! But you keep popping up here often to have a look -see.no
I am not
Kelele zilikua wa Tz ni ma drug lord, naona una badili maneno ili ya fit mazingira yako. Anyways mimi nimeshakutana na wakenya mazezeta wakutosha so hizi pang'ang'a zako naona unajifurahisha tu. Wakati fulani nilikua Ug watu waliokuwa wanaogopwa kwa ujanja walikua wa Tz mpaka ma askari walikua wanasema wa Tz mnajua sana kupanga maneno tunapo wakamata. Labda kama unaongelea usela mavi, kwa hilo wa Tz hatuna.
just doing my job manmmmhhh strange !!! But you keep popping up here often to have a look -see.
Nanikakuambia wamenizidi elimu maana elimu zipo hadi za uchawiNani kakwambia mimi ni Profesa?
Nani kamwambia mimi nafundisha?
Pia nani kakwambia kuwasemea vibaya maprofesa kuna kusaidia lolote?
Maprofesa ni watu kama wewe,ila wamekuzidi elimu!
Kama wewe unaona eti wao kukuzidi elimu ni kosa basi utakua na matatizo sana!
Una tatizo kubwa sana la kuonea wivu watu waliokuzidi vitu ambavyo huna,kama elimu,akili,hela,etc!
Una matatizo sana aisee
Wajaluo wa Kenya kwa sifa yani kupitia watu wa Uganda mpka tumejua unawatoto wanazungumza kifaransaTatizo lipo kwenye lugha, mnalazimisha Kiswahili kwa kila mtu, nakumbuka humu walikua wanakuja Wanijeria na watu wa Afrika Kusini, mada inajadiliwa kwa Kingereza, Watanzania wanajibu jibu humo kwa Kiswahili hadi jamaa wanahisi kama wamebaguliwa.
Mnafaa mjifunze kuwa na uwezo wa kuzungumza lugha kadhaa, sio unadumaa kwenye lugha moja miaka yote, akija mtu wa Ghana unatema yai, akiibuka Mkenya unabadilisha na kutiririka Kiswahili. Ujanja wa lugha ni kitu cha muhimu. Na pia hata sayansi imebaini kwamba watu wenye uwezo wa kuongea lugha zaidi ya moja huongeza akili na maarifa.
Sisi Wakenya tunachangamkia lugha zetu za asili, pia Kiswahili na Kingereza, hapa nyumbani wanangu wanaachia hadi Kifaransa na kuniacha nimedata, ukizingatia pia nimekua nahakikisha wanaongea lugha yangu ya asili yaani Kikikuyu.
Kwenu huko hadi mkulu ameogopa kutoka ndani ya nchi akidai kubana matumizi, ila inafahamika tatizo lipo kwenye lugha maana kule kwa mabeberu bila kutema yai mambo hayaendi. Leo hii hata Wachina na Warusi wote wanahangaika kujifunza Kingereza.
Nanikakuambia wamenizidi elimu maana elimu zipo hadi za uchawi
Uchawi ni elimu na kila kitu tunavyofanya kama wanadamu ni elimu!
Ila kuna elimu rasmi na isiyo rasmi!
Uchawi ni elimu isiyo rasmi!
Wizi,umalaya,etc ni elimu zisizo rasmi maana hazina bodi zenye mandate ya ku regulate na kutoa vyeti na kupima ubora wake!
Kwenye elimu rasmi umepitwa!
Kwenye elimu zisizo rasmi wewe unadai hujapitwa,who knows?
Na who cares about elimu isiyo rasmi?
Keep it for yourself!
Nani kanipita hao maprofesa feki ! Maprofesa wa kuongea ingilishi kama muzungu ,huo ujinga tumewaachia wakenya kuongea inglishi hadi unalegeza tako kumlidhisha mzungu
Siyo za malkia tuu mkuu hata icho kimalkia waokijua ni wachache, wanajua maluga yao ya kikabila zaidi80% Hawaelewi Lugha hii yetu. Wengi wao huwa Twitter wakibwabwaja ndimi za malkia
Ila hapa hatupo nje ya nchi mzee tupo jfKila mtu huchangia humu kwa mtazamo wake, hivyo isikupe stress, ila kusema Waganda wana aibu utakua unadanganya, wao hujimix sana na wana ujasiri, sio kama nyie waoga waoga, Mtanzania akiwa nje ya nchi ni mwoga sana.
Nikama kitabu tu chenye elimu lakini hakiwezi kufanya kitu chochote
Tena bora ya kitabu chenye elimu kuliko maprofesa wetu.maana profesa wa tz niMwanadamu mwenye utashi unamfananisha na non-living thing ka kitabu??
Kitabu ni storage device kama ilivyo flash au CD!
Unafananisha maembe na mafenesi vitu viwili tofauti kabisa!
Tena bora ya kitabu chenye elimu kuliko maprofesa wetu.maana profesa wa tz ni
TZ PROFESA= ELIMU + UPUMBAVU