Hivi Waganda wana tatizo gani?

Waganda ni kama walokole tu... Wale walokole haswa acha hawa wanaookolewa na kina zumaridi
 
Na wewe unaeongea hivyo ni top genius?

Maana wewe ni hewa jumlisha hewa halafu sijui unapata wapi hii authority ya kuita wengine β€œwapumbavu”?

These are wonders!
Ndiyo ni genius kwa sababu nafanya kazi ambazo ma IT na maenjinia wa electronic hawaziwezi nandiyo zinaniingizia kipato hao ma IT wakipata kazi wananiletea nawafanyia kisha wananilipa wanaonekana ni wao wamefanya
 
Ndiyo ni genius kwa sababu nafanya kazi ambazo ma IT na maenjinia wa electronic hawaziwezi nandiyo zinaniingizia kipato hao ma IT wakipata kazi wananiletea nawafanyia kisha wananilipa wanaonekana ni wao wamefanya

Kufanya kazi za IT ndio u-genius?

Kuna strong drug unakula aisee
 
Mleta mada ni Mbongo, waganda tukija na kutoa mada zetu kwa lugha yetu mnaanza kutuponda so tunaaamua kuwaaangalia jinsi mnavyojisifia, kwa kujisifu mko juu saana, na ambaye anadhani kuwa hatujui kiswahili yawezeka ako na fikilia bado tuko miaka ya 1980 na sio 2019
 
Tunashukuru kwa ushauri mkikuyu...
 
hata mm nilitaka nishangae eti 80% ya waganda hawajui kiswahili

Ila mkuu sasa kama mnajua kiswahili si mchangie kwa kiswahili
 
Mna majung
ujinga jijnga mwingi sana kwa wa tz sana wajingajinga hivi hamjasoma km wao, shida nyingi kulialia tu, mnachojua vita ya vichambo, uchawi sana
 
Mna majung

ujinga jijnga mwingi sana kwa wa tz sana wajingajinga hivi hamjasoma km wao, shida nyingi kulialia tu, mnachojua vita ya vichambo, uchawi sana
Wewe utakuwa mganda....
 
Hata mimi niliwahi kujiuliza hili swali
 
Point
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waganga Wana Ile Hali ya kujiskia
Licha ya wabongo na wakenya kuwa na ligi lkn
Kwenye joints, venues wanajichanganya pamoja

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkulu nini eti πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ngoja wakujue wazee wa lumumba
 
Wanatabia kama wale ndugu zetu wa BK
 
mmmh hamna mkenya hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…