Hivi wagombea uongozi wa chadema ngazi ya taifa wana misimamo ipi na mikakati gani kuhusu suala la kupambana na kutokomeza ushoga nchini Tanzania?

Hivi wagombea uongozi wa chadema ngazi ya taifa wana misimamo ipi na mikakati gani kuhusu suala la kupambana na kutokomeza ushoga nchini Tanzania?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Maana wathirika wakubwa wa fedheha hii ni pmoja na watoto wao, ndugu, jamaa, marafiki, wanachama wa chadema wafuasi wa chadema na waTanzania kwa ujumla..

Je,
ni ipi hasa mipango mikakati yao katika kukabiliana na ufirauni huo, ikiwa watapata fursa ya kuiongoza chadema Taifa?

au itakua ni aibu zaidi, kwamba ufirauni ni haki kama ambavyo iko huko kwa mabwenyenye wanaowafadhili baadhi ya vibaraka wao wanaogombea uongozi kwenye uchaguzi huu muhimu wa chadema ngazi ya Taifa?

kama mdau wa siasa,
unadhani hawa wagombea uongozi wa chadema taifa ,wamejiandaa kupambana na hiyo fedheha, ukiwatizama hata kwa sura zao tu?🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
 
Maana wathirika wakubwa wa fedheha hii ni pmoja na watoto wao, ndugu, jamaa, marafiki, wanachama wa chadema wafuasi wa chadema na waTanzania kwa ujumla..

Je,
ni ipi hasa mipango mikakati yao katika kukabiliana na ufirauni huo, ikiwa watapata fursa ya kuiongoza chadema Taifa?

au itakua ni aibu zaidi, kwamba ufirauni ni haki kama ambavyo iko huko kwa mabwenyenye wanaowafadhili baadhi ya vibaraka wao wanaogombea uongozi kwenye uchaguzi huu muhimu wa chadema ngazi ya Taifa?

kama mdau wa siasa,
unadhani hawa wagombea uongozi wa chadema taifa ,wamejiandaa kupambana na hiyo fedheha, ukiwatizama hata kwa sura zao tu?🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
Serikali ya chama chenu cha ccm, wenye vyombo, mamlaka na uwezo wa kudeal nao wamewaacha watamalaki kwenye vyombo vya habari na wawe na influence kwa jamii. Sasa badala uanzie kwenye chama chako ambacho ndicho kimeunda serikali, unaanza kuuliza chadema ambayo haina hata wabunge 30.
 
Maana wathirika wakubwa wa fedheha hii ni pmoja na watoto wao, ndugu, jamaa, marafiki, wanachama wa chadema wafuasi wa chadema na waTanzania kwa ujumla..

Je,
ni ipi hasa mipango mikakati yao katika kukabiliana na ufirauni huo, ikiwa watapata fursa ya kuiongoza chadema Taifa?

au itakua ni aibu zaidi, kwamba ufirauni ni haki kama ambavyo iko huko kwa mabwenyenye wanaowafadhili baadhi ya vibaraka wao wanaogombea uongozi kwenye uchaguzi huu muhimu wa chadema ngazi ya Taifa?

kama mdau wa siasa,
unadhani hawa wagombea uongozi wa chadema taifa ,wamejiandaa kupambana na hiyo fedheha, ukiwatizama hata kwa sura zao tu?🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
Tatizo kubwa la Tanzania ni uchumi, acheni kutuchosha
 
Maana wathirika wakubwa wa fedheha hii ni pmoja na watoto wao, ndugu, jamaa, marafiki, wanachama wa chadema wafuasi wa chadema na waTanzania kwa ujumla..

Je,
ni ipi hasa mipango mikakati yao katika kukabiliana na ufirauni huo, ikiwa watapata fursa ya kuiongoza chadema Taifa?

au itakua ni aibu zaidi, kwamba ufirauni ni haki kama ambavyo iko huko kwa mabwenyenye wanaowafadhili baadhi ya vibaraka wao wanaogombea uongozi kwenye uchaguzi huu muhimu wa chadema ngazi ya Taifa?

kama mdau wa siasa,
unadhani hawa wagombea uongozi wa chadema taifa ,wamejiandaa kupambana na hiyo fedheha, ukiwatizama hata kwa sura zao tu?🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
Wewe vp mbona hueleweki??
Kazi hiyo si ya kilamtu unataka uwaachie viongozi wa chadema?
 
Hiyo ni kazi ya Serikali ambako nasikia wamejaa kwenye ngazi mbali mbali! Makonda alipotaka kulivalia njuga na Wazungu walipoanza kuwa wakali na kutishia kutunyima misaada Serikali ya Mwendazake ilimruka tena na kusema huo siyo msimamo wa serikali.
 
Maana wathirika wakubwa wa fedheha hii ni pmoja na watoto wao, ndugu, jamaa, marafiki, wanachama wa chadema wafuasi wa chadema na waTanzania kwa ujumla..

Je,
ni ipi hasa mipango mikakati yao katika kukabiliana na ufirauni huo, ikiwa watapata fursa ya kuiongoza chadema Taifa?

au itakua ni aibu zaidi, kwamba ufirauni ni haki kama ambavyo iko huko kwa mabwenyenye wanaowafadhili baadhi ya vibaraka wao wanaogombea uongozi kwenye uchaguzi huu muhimu wa chadema ngazi ya Taifa?

kama mdau wa siasa,
unadhani hawa wagombea uongozi wa chadema taifa ,wamejiandaa kupambana na hiyo fedheha, ukiwatizama hata kwa sura zao tu?🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
Kwani ccm ina mkakati gani? Ilani yao inasemaje kuhusu ushoga?
 
Maana wathirika wakubwa wa fedheha hii ni pmoja na watoto wao, ndugu, jamaa, marafiki, wanachama wa chadema wafuasi wa chadema na waTanzania kwa ujumla..

Je,
ni ipi hasa mipango mikakati yao katika kukabiliana na ufirauni huo, ikiwa watapata fursa ya kuiongoza chadema Taifa?

au itakua ni aibu zaidi, kwamba ufirauni ni haki kama ambavyo iko huko kwa mabwenyenye wanaowafadhili baadhi ya vibaraka wao wanaogombea uongozi kwenye uchaguzi huu muhimu wa chadema ngazi ya Taifa?

kama mdau wa siasa,
unadhani hawa wagombea uongozi wa chadema taifa ,wamejiandaa kupambana na hiyo fedheha, ukiwatizama hata kwa sura zao tu?🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
Waliounda serikali ni cdm? Uchawa unakusumbua. Tafuta shughuli halali za kufanya, unaweza kuta hata ww ni sh..ga tu
 
Maana wathirika wakubwa wa fedheha hii ni pmoja na watoto wao, ndugu, jamaa, marafiki, wanachama wa chadema wafuasi wa chadema na waTanzania kwa ujumla..

Je,
ni ipi hasa mipango mikakati yao katika kukabiliana na ufirauni huo, ikiwa watapata fursa ya kuiongoza chadema Taifa?

au itakua ni aibu zaidi, kwamba ufirauni ni haki kama ambavyo iko huko kwa mabwenyenye wanaowafadhili baadhi ya vibaraka wao wanaogombea uongozi kwenye uchaguzi huu muhimu wa chadema ngazi ya Taifa?

kama mdau wa siasa,
unadhani hawa wagombea uongozi wa chadema taifa ,wamejiandaa kupambana na hiyo fedheha, ukiwatizama hata kwa sura zao tu?🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
Pumzika kidogo na CHADEMA mwamba utakonda😂
 
Pumzika kidogo na CHADEMA mwamba utakonda😂
Gentleman,
sasa hii akili mingi ambayo niko nayo, yenye masuala na maswali mengi ya Kitaifa na kimatafa kwa faida ya wananchi, nitamuachia nani na mimi si muchoyo wa maaraifa, utaalamu na ujuzi ambae pia ni mwepesi wa kutoa mawazo mapya na fikra mbadala kwaajili ya kuongeza uelewa na ufahamu wa wadau wa JF kuhusu mambo haya ya kisiasa hususani kuelekea uchuguzi wa chadema Taifa?

nachokaje kwa mfano,
wakati mambo haya nayafanya kwa Neema na Baraka za Mungu?🐒
 
Serikali ya chama chenu cha ccm, wenye vyombo, mamlaka na uwezo wa kudeal nao wamewaacha watamalaki kwenye vyombo vya habari na wawe na influence kwa jamii. Sasa badala uanzie kwenye chama chako ambacho ndicho kimeunda serikali, unaanza kuuliza chadema ambayo haina hata wabunge 30.
Wa kiwaki tu hao ccm, ni vibaraka wa mabeberu hao.

Walipomkataa Makonda waziwazi nikaona hamna kazi apa.
 
Tafiti sirikalini zinasema ushoga na usagaji, ubakaji asilimia kubwa waathiriwa hufanyiwa na member wa familia au Watu wa karibu. Kwaiyo kabla ya kuitwisha serikali mzigo wa kukunja samaki aliye kauka, tungeongeza ufuatiliaji wa karibu wa mabinti na vijana wetu, tunaishi kwenye zama ambazo ni hatari sana kuacha Watu Baki wakulele mtoto/watoto wako.
 
Wewe binafsi una mikakati Gani?🐼
mkakati wangu wa kwanza muhimu zaidi kabisa ni kuwakataa wagombea uongozi uongozi na watetezi wa ufirauni huo, Lakini pia kuwafedhehesha kwa kura wagombea uongozi wote wanaofadiliwa na mafirauni ya jinsia moja kutoka ng'ambo.

ni muhimu sana wajumbe wa mikutano mkuu wa chadema taifa wakachukua mkakati huu ili kuwanusuru watoto wao, ndugu zao na marafiki zao kutumbukizwa kwenye laana hii ya fedheha na madalali ambao ni wagombea uongozi wa chadema taifa na watetezi wa uchafu huu🐒
 
Serikali ya chama chenu cha ccm, wenye vyombo, mamlaka na uwezo wa kudeal nao wamewaacha watamalaki kwenye vyombo vya habari na wawe na influence kwa jamii. Sasa badala uanzie kwenye chama chako ambacho ndicho kimeunda serikali, unaanza kuuliza chadema ambayo haina hata wabunge 30.
Gentleman,
ni muhimu zaidi kujikita kwenye hoja mahususi mezani, bila maelezo mengine ya ziada japo yana make sense 🐒
 
Tatizo kubwa la Tanzania ni uchumi, acheni kutuchosha
Gentleman,
hilo ni miongoni mwa maswali muhimu na ya msingi zaidi kwa wagombea uongozi wa chadema taifa litakuja mahususi kwao,

kuhusu ushoga na usagaji,
unadhani hawa wangwana wana mipango mikakati mbadala yoyote kuwanusuru watoto wa Taifa hili na fedheha ya ufirauni?🐒
 
mkakati wangu wa kwanza muhimu zaidi kabisa ni kuwakataa wagombea uongozi uongozi na watetezi wa ufirauni huo, Lakini pia kuwafedhehesha kwa kura wagombea uongozi wote wanaofadiliwa na mafirauni ya jinsia moja kutoka ng'ambo.

ni muhimu sana wajumbe wa mikutano mkuu wa chadema taifa wakachukua mkakati huu ili kuwanusuru watoto wao, ndugu zao na marafiki zao kutumbukizwa kwenye laana hii ya fedheha na madalali ambao ni wagombea uongozi wa chadema taifa na watetezi wa uchafu huu🐒
Kwani hao viongozi Ndio watakuletea Mabasha kwa mtutu wa bunduki?

Yaaani wewe binafsi umejianaaje? 🐼
 
Back
Top Bottom