The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,017
- 19,506
Kuna vitu unaviona hata kama sio mhandisi lakini unashangaa, huyu ama hawa wahandisi wamesomea wapi?
Ukiangalia barabara zote za Dar kiuhalisia hakuna foleni kiviile ila shida kubwa inayochangia kuwepo na foleni ni vituo vya daladala kua barabarani ama karibu sana na taa za Barabarani.
Mfano, mwenge baada tu ya mataa kituo cha daladala na kiko barabarani, Morocco, Tabata, Buguruni (hiki baadae waliamua kukisogeza mbele kidogo maana kilikua kwenye mataa kabisa), Tazara na kadhalika. Hivyo viko karibu na mataa.
Najiuliza kwa nini wahandisi wetu hawaoni mbali ama hawaoni kabisa kua vituo vya daladala barabarani vitasababisha foleni zisizo na msingi?
Ukiangalia barabara zote za Dar kiuhalisia hakuna foleni kiviile ila shida kubwa inayochangia kuwepo na foleni ni vituo vya daladala kua barabarani ama karibu sana na taa za Barabarani.
Mfano, mwenge baada tu ya mataa kituo cha daladala na kiko barabarani, Morocco, Tabata, Buguruni (hiki baadae waliamua kukisogeza mbele kidogo maana kilikua kwenye mataa kabisa), Tazara na kadhalika. Hivyo viko karibu na mataa.
Najiuliza kwa nini wahandisi wetu hawaoni mbali ama hawaoni kabisa kua vituo vya daladala barabarani vitasababisha foleni zisizo na msingi?