The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,017
- 19,506
Walilelewa na Mwendazake wa kujiita (initials) Eng. XYZKuna vitu unaviona hata kama sio mhandisi lakini unashangaa, huyu ama hawa wahandisi wamesomea wapi?
Ukiangalia barabara zote za Dar kiuhalisia hakuna foleni kiviile ila shida kubwa inayochangia kuwepo na foleni ni vituo vya daladala kua barabarani ama karibu sana na taa za Barabarani.
Mfano, mwenge baada tu ya mataa kituo cha daladala na kiko barabarani, Morocco, Tabata, Buguruni (hiki baadae waliamua kukisogeza mbele kidogo maana kilikua kwenye mataa kabisa), Tazara na kadhalika. Hivyo viko karibu na mataa.
Najiuliza kwa nini wahandisi wetu hawaoni mbali ama hawaoni kabisa kua vituo vya daladala barabarani vitasababisha foleni zisizo na msingi?
shida mambo yanaenda bila utaratibu, usafiri wa tanzania unatakiwa usimamiwe na jiji na sheria za mafisaidi zizingatiwe maana vitu vingi vinafilisika kwasababu tunacheka na wezi wa mali za uma kama uda ilikufa na wezi tunawajua tunawachekea basi tanzania haitakuja kuendeleaPlani ni kuondoa daladala jijini zibaki mwendokasi tu
yani baada ya kuandika hii ndio unawashtua usingiziniKuna vitu unaviona hata kama sio mhandisi lakini unashangaa, huyu ama hawa wahandisi wamesomea wapi?
Ukiangalia barabara zote za Dar kiuhalisia hakuna foleni kiviile ila shida kubwa inayochangia kuwepo na foleni ni vituo vya daladala kua barabarani ama karibu sana na taa za Barabarani.
Mfano, mwenge baada tu ya mataa kituo cha daladala na kiko barabarani, Morocco, Tabata, Buguruni (hiki baadae waliamua kukisogeza mbele kidogo maana kilikua kwenye mataa kabisa), Tazara na kadhalika. Hivyo viko karibu na mataa.
Najiuliza kwa nini wahandisi wetu hawaoni mbali ama hawaoni kabisa kua vituo vya daladala barabarani vitasababisha foleni zisizo na msingi?