Mwamgunda
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 247
- 48
Nimekuwa nikifatilia mjadala wa bunge tangu kuanza kwake wiki iliyopita, wamejadili na kuuliza mambo mengi kuhusu wizara ya elimu, lakini sijasikia mbunge yeyote akiuliza kuhusu kuajiriwa kwa waalimu mwaka huu wa 2013, sasa najiuliza ina maana wabunge wote mlio bungeni hamuelewi au hamuoni umuhimu wowote kuhusu hili suala kitaifa? Hiyo Mitalaa mnayojadili kila siku itatekelezwa vipi bila kuwepo na waalimu? Nawasilisha.