Aaah wapi! Penzi halina mitishamba bana. Kwanza uchawi haupo. Kama upo basi nawapa rukhsa hao wachawi waniloge tuone kitakachotokea.
Upo sana....ningekua mshirika ningekufanyia jaribio uone maajabu!!!
Mhhh will have to ask around...Hauna mtu unayemfahamu ambaye ni mshirikina? Kama yupo hebu mwambie kuna jamaa mmoja mbishi sana....eti anabisha uchawi upo....hebu mjaribu kidogo aone.....lol
Jamani nimeanza kuuliza hilo swali baada yakuona kisa na mkasa sehemu today nikiwa nimefika tu home nikitokea church...Binti wa kazi kumbe katoka kwao kwa shughuli maalum ,,
Katika kupanga panga nguo zake mara madubwasha yakadondoka...kalikuwepo katoto ka 5 yrs chumbani na dada wa kazi kakamuuliza dada nini hii..Binti kamwambia ni dawa za tumbo mara mtoto akamwita mama yake aje kuona ...mama kuingia chumbani aliyoyakuta kapigwa butwaa kitanda kimejaa mavitu ya ajabu si vibuyu ,,...si miti ya aina mbali mbali..madude meusi ya kutisha mama kachanganyikiwa ...
kaita majirani msichana wa kazi kaanza kulia anaulizwa kwa nini katembea na miti shamba kagoma kusema alipotishiwa sana kama anapelekwa police ndipo aliposema mama yake kamwambia aangalie kama mme wa huyo mama ana uwezo aanze kuogea dawa na zingine aangalie mama akiwa hayupo ajitahidi kumuwekea baba kwenye chakula anachokula ili baba amwache mkewe binti aolewe..
Na kama baba atakuwa hana uwezo atafute sehemu nyingine .....mama wa watu kumuuliza binti kama alishaanza kumuwekea mmewe kakataa kata kata eti ndo alikuwa anataka kuanza ..
Hii kesi bado inaendelea kwa mama wa binti kutafutwa... swali ....
1. Hivi kumbe kuna mambo yanayoendelea pasipo nyie kujitambua ?
2.Kina mama inabidi tuwaombee waume zetu sana
3.Ni lazima kukagua mabegi ya mabinti zetu wakifika??
4..Hivi haya mambo ya ukalumanzira yapo ??
Ooooops!!
Jamani nimeanza kuuliza hilo swali baada yakuona kisa na mkasa sehemu today nikiwa nimefika tu home nikitokea church...Binti wa kazi kumbe katoka kwao kwa shughuli maalum ,,
Katika kupanga panga nguo zake mara madubwasha yakadondoka...kalikuwepo katoto ka 5 yrs chumbani na dada wa kazi kakamuuliza dada nini hii..Binti kamwambia ni dawa za tumbo mara mtoto akamwita mama yake aje kuona ...mama kuingia chumbani aliyoyakuta kapigwa butwaa kitanda kimejaa mavitu ya ajabu si vibuyu ,,...si miti ya aina mbali mbali..madude meusi ya kutisha mama kachanganyikiwa ...
kaita majirani msichana wa kazi kaanza kulia anaulizwa kwa nini katembea na miti shamba kagoma kusema alipotishiwa sana kama anapelekwa police ndipo aliposema mama yake kamwambia aangalie kama mme wa huyo mama ana uwezo aanze kuogea dawa na zingine aangalie mama akiwa hayupo ajitahidi kumuwekea baba kwenye chakula anachokula ili baba amwache mkewe binti aolewe..
Na kama baba atakuwa hana uwezo atafute sehemu nyingine .....mama wa watu kumuuliza binti kama alishaanza kumuwekea mmewe kakataa kata kata eti ndo alikuwa anataka kuanza ..
Hii kesi bado inaendelea kwa mama wa binti kutafutwa... swali ....
1. Hivi kumbe kuna mambo yanayoendelea pasipo nyie kujitambua ?
2.Kina mama inabidi tuwaombee waume zetu sana
3.Ni lazima kukagua mabegi ya mabinti zetu wakifika??
4..Hivi haya mambo ya ukalumanzira yapo ??
Ooooops!!
...Amen, amen 1stLady, pheeewwww!
unajua haya mambo sio hawa housemaids peke yao,
hata huko 'nyumba ndogo' unadhani inakuwaje?
Wanatuloga kweli hawa watu... heri tu mtuombee enyi wake zetu wapendwa.
Angalia IMF chief Dominique Strauss-Kahn nae alivyoponzeka maskini,
arrrghhhh,....huu uchawi umeenea sana duniani!
...Amen, amen 1stLady, pheeewwww!
unajua haya mambo sio hawa housemaids peke yao,
hata huko 'nyumba ndogo' unadhani inakuwaje?
Wanatuloga kweli hawa watu... heri tu mtuombee enyi wake zetu wapendwa.
Angalia IMF chief Dominique Strauss-Kahn nae alivyoponzeka maskini,
arrrghhhh,....huu uchawi umeenea sana duniani!
Wanawaroga kwa mengi, si mitishamba tu; na mitego midogo midogo, kujipitishapitisha, utani utani; kuwabania pua;...the list goes, mpaka mnaingia line!
First Lady 1, please forgive me kwa urefu wa post .
Inasikitisha sana mambo ambayo yanatokea katika jamii na hasa katika ndoa Imekua ni mtihani kwa kweli Sijui kama nitakua natoka off topic (sorry kueleweka nataka nidadafue the way naelewa).
Kutokana na ukweli kua maisha yamebadilika sana in every level hivyo kupanda kwa gharama kila sehemu ugusayo hasa ukitaka kitu quality ili kupata huduma ya uhakika iwe education, malazi/makazi, matibabu, chakula, - facts zinazofanya wenza wote wawili mujishulishe hivyo kama mna watoto mnamtafuta binti wa kuwasaidia Tatizo ndo linakuja hapo.. NDIO akina dada tuko busy saaana lakini jamani are we so busy to the extent huwezi nyanyua kidole hata kidogo??? Nauliza/nasema hivi in the sense kua NDIO Msichana wako anakupa support katika kuendesha/kuangalia nyumba lakini je kuna haja ya kumpa full access kwa mumeo kwa mtazamo wangu wadada/mama wengine huyataka mambo kama haya ya kwenye thread hii kuwatokea tokana na the way anendesha mambo yao katika ndoa yake .
Kwanini umpe msichana wako FULL ACCESS kwa mumeo???? Ladies if you love your man and proud of him at all cost minimize vitu/mambo yawezao kumshawishi (akina mama tuna njia tofauti hii ni kwa wale wataoona I am right) Kama Speaker alivyosema katika moja ya post.. Never let your mans mind wander .... Hivyo akina dada/mama tujiulize je wewe personaly umempa msichana wako (maarufu kwa house girl) Full Acces OR No Access kwa mumeo???
FULL ACCESS
Anaingia chumbani kwenu (eti kufanya usafi lol!) na worse enough yeye ndo anatandika kitanda ambacho wewe na hubby mnajimwaya; Anapika mwenyewe (si mbaya sana) but worse enough yeye ndo anaandaa chakula na kumkaribisha hubby mezani..; Anampokea mizigo akifika in other words mumeo anatangulia kufika kabla yako kila siku (bad news - kwa wale ambao iko nje ya uwezo ); Ndio afue nguo (for maybe you have no time) but ziwahi hakuna haja ya hubby kuulizia soksi ikowapi which at the end of the day atamfuata binti kumuuliza mana anajua wazi hufui wewe . Etc.
NO ACCESS
Huna nafasi ya kupika, but unahakikisha umekagua chakula, umeandaa mwenyewe na umemkaribisha mwenyewe mezani, Ndio nguo hafui but at least anahakiki zimetakata zimenyoshwa vizuri na zinarudishwa room kabla hubby hajazimiss..; Ana hakikisha kila mumewe anpokuwepo nyumbani yupo tayari home' labda in rare cases plus kujitahidi kurudi kabla ya the hubby etc. Kwa ufupi kutojenga mazingira ya wao kuwa karibu . House girl awe karibu na watoto . BUT not the husband
Note; Wanaume hawalindiki hasa akiwa na nia but at least ikitokea utasema "I tried my best but he is just a Ba****"
Namuonea ghere mumeo jamani!! hongera Dada nawe yaishi kweli haya uliyoyanena hapa tafadhari
Sisi wanaume tunawindwa sana kila kona!nani mwili huu!limbwata sisi,mahouse gal sisi,nyumba ndogo ni sisi,walioko mtaani wanatutamani sisi jamani tutakuwa wageni wanani?