Hivi wakenya lugha yao kiswahili au kiingereza?

Hivi wakenya lugha yao kiswahili au kiingereza?

Status
Not open for further replies.

Mzee2000

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2009
Posts
528
Reaction score
221
Nimemuangalia sasa hivi Kenyatta anahutubia wakenya nimeshangaa anatumia kiingereza. Wakati huohuo Hollande anahutubia UN kwa lugha yake kifaransa. Hivi Waafrika ni ushamba au ujinga?

Naomba jibu
 
Kenya wapo kibiashara zaidi, wanachofanya nikujitangaza kimataifa"beyond Africa" hasa mataifa makubwa. Tukio la Westgate limechukua coverage kubwa kwenye international media. Amefanya 2 in 1" yaani lugha aliyotumia wananchi wake wameelewa pia dunia imemsikia. ingekuwa hapa kwetu then rais ahutubie kwa kiingereza ingekuwa shida kwani wananchi wasingemuelewa. " Kenyatta vilevile anaweza kutumia nafasi hiyo kuwaonyesha wakubwa wa dunia(wanaomnyooshea vidole) kuwa yupo safi; kama umemsikiliza vizuri hadi mwisho utagundua ninachomaanisha, mfano kuhamasisha kuwa kitu kimoja bila kujali kabila wala dini .

Poleni Kenya.

Haya ni mawazo yangu tu.
 
Kenya wapo kibiashara zaidi, wanachofanya nikujitangaza kimataifa"beyond Africa" hasa mataifa makubwa. Tukio la Westgate limechukua coverage kubwa kwenye international media. Amefanya 2 in 1" yaani lugha aliyotumia wananchi wake wameelewa pia dunia imemsikia. ingekuwa hapa kwetu then rais ahutubie kwa kiingereza ingekuwa shida kwani wananchi wasingemuelewa. " Kenyatta vilevile anaweza kutumia nafasi hiyo kuwaonyesha wakubwa wa dunia(wanaomnyooshea vidole) kuwa yupo safi; kama umemsikiliza vizuri hadi mwisho utagundua ninachomaanisha, mfano kuhamasisha kuwa kitu kimoja bila kujali kabila wala dini .

Poleni Kenya.

Haya ni mawazo yangu tu
 
Al-Shabab pia walikuwa wanamwangalia ujue..........hiyo msg aliyotoa ni kwa ajili ya dunia nzima sio Kenya peke yao.......
 
kiingereza ndo lugha yao ya taifa, japokuwa wanachanganya, na kiswahili kwa baadh ya maeneo kinatumika sana.
 
Kiswahili ndio lugha yetu ya taifa Kenya, ipo hata kwenye katiba, na Wakenya wengi barabarani hutumia Kiswahili, ila Kingereza ndo lugha ya ofisi na biashara. Ni vigumu kuepuka Kingereza. Wakati nikiwa Dar es Salaam niliona matangazo ya biashara kila sehemu eti "jifunze kuongea kingereza chini ya wiki sita". Hata vikao vingi nilivyofanya na Wabongo wahandisi, wengi niliwaona wakitumia maneno mengi ya Kingereza kwa kukosa tafsiri ya Kiswahili. Minutes, user manuals/guides, sheria na stakabadhi nyingi Tanzania zimeandikwa kwa Kingereza.
Unapolinganisha Kiswahili na lugha zilizostawi kama kifaransa unakosea. Elewa kuwa Mfaransa, Mchina nk anaweza somea fani yake yote kama udaktari, uhandisi, urubani nk bila kutumia neno hata moja la Kingereza. Kiswahili bado hakijafikia kiwango hicho. Wadau waliopewa jukumu la kukiimarisha wamezembea tuu na kula hela.
Niliona Bongo eti Kingereza kinafundishwa kuanzia shule ya upili, jameni lugha huwa rahisi kuelewa ukiwa mdogo, hii inawafanya kaka zetu Wabongo kukosa kujiamini wanapojipata katika vikao vya kimataifa.
 
Kiswahili ndio lugha yetu ya taifa Kenya, ipo hata kwenye katiba, na Wakenya wengi barabarani hutumia Kiswahili, ila Kingereza ndo lugha ya ofisi na biashara. Ni vigumu kuepuka Kingereza. Wakati nikiwa Dar es Salaam niliona matangazo ya biashara kila sehemu eti "jifunze kuongea kingereza chini ya wiki sita". Hata vikao vingi nilivyofanya na Wabongo wahandisi, wengi niliwaona wakitumia maneno mengi ya Kingereza kwa kukosa tafsiri ya Kiswahili. Minutes, user manuals/guides, sheria na stakabadhi nyingi Tanzania zimeandikwa kwa Kingereza.
Unapolinganisha Kiswahili na lugha zilizostawi kama kifaransa unakosea. Elewa kuwa Mfaransa, Mchina nk anaweza somea fani yake yote kama udaktari, uhandisi, urubani nk bila kutumia neno hata moja la Kingereza. Kiswahili bado hakijafikia kiwango hicho. Wadau waliopewa jukumu la kukiimarisha wamezembea tuu na kula hela.
Niliona Bongo eti Kingereza kinafundishwa kuanzia shule ya upili, jameni lugha huwa rahisi kuelewa ukiwa mdogo, hii inawafanya kaka zetu Wabongo kukosa kujiamini wanapojipata katika vikao vya kimataifa.

Nakubaliana ba wewe.100% kiswahili hakijiyoshelzi ndio maana wachina na wajerumani na hata wafaransa wanaweza kutumia lugha zao wenyewe kwenye mashule yao na mpaka machuoni ndio maana wana uwezo wa hali ya juu ... Bongo watu wanashindwa kufanya vizuri secondary kwa kuwa hawajui kiingereza vizuri .. Unakuta form one hawezi kuandika sentesi iliyo kamili.... Kama ulivyo sema watoto wengi wa shule za msingi wangefundishwa kwa kiingereza ingekuwa ni mteremko kwao kuingia form 1
 
Kiswahili ndio lugha yetu ya taifa Kenya, ipo hata kwenye katiba, na Wakenya wengi barabarani hutumia Kiswahili, ila Kingereza ndo lugha ya ofisi na biashara. Ni vigumu kuepuka Kingereza. Wakati nikiwa Dar es Salaam niliona matangazo ya biashara kila sehemu eti "jifunze kuongea kingereza chini ya wiki sita". Hata vikao vingi nilivyofanya na Wabongo wahandisi, wengi niliwaona wakitumia maneno mengi ya Kingereza kwa kukosa tafsiri ya Kiswahili. Minutes, user manuals/guides, sheria na stakabadhi nyingi Tanzania zimeandikwa kwa Kingereza.
Unapolinganisha Kiswahili na lugha zilizostawi kama kifaransa unakosea. Elewa kuwa Mfaransa, Mchina nk anaweza somea fani yake yote kama udaktari, uhandisi, urubani nk bila kutumia neno hata moja la Kingereza. Kiswahili bado hakijafikia kiwango hicho. Wadau waliopewa jukumu la kukiimarisha wamezembea tuu na kula hela.
Niliona Bongo eti Kingereza kinafundishwa kuanzia shule ya upili, jameni lugha huwa rahisi kuelewa ukiwa mdogo, hii inawafanya kaka zetu Wabongo kukosa kujiamini wanapojipata katika vikao vya kimataifa.
Umeongea ukweli kabisa
 
,Nimemuangalia sasa hivi kenyatta anahutubia wakenya nimeshangaa anatumia kiingereza.Wakati huohuo hollande anahutubia UN kwa lugha yake kifaransa.Hivi Waafrika ni ushamba au ujinga?
Naomba jibu
Si ushamba na pia si ujinga. It is embracing diversity. English is a widely accepted language, all across the world. I dont think theres a continent where there are no english speaking nation. Kiswahili utapata tu East Africa, na labda kwa wale waeast africa walioko diaspora. You should also bear in mind that British people colonized us and thus we ended up adopting most of their constioltution, which has english as a national language enshrined in it. Kenya also enbraces other languages. Some high schools teach french, german language, and even spanish. Do you think you can compare a kid who has learned all these languages, including his mothertongue, with the one who ever since birth knows only swahili? Food for thought.
 
Kiswahili ndio lugha yetu ya taifa Kenya, ipo hata kwenye katiba, na Wakenya wengi barabarani hutumia Kiswahili, ila Kingereza ndo lugha ya ofisi na biashara. Ni vigumu kuepuka Kingereza. Wakati nikiwa Dar es Salaam niliona matangazo ya biashara kila sehemu eti "jifunze kuongea kingereza chini ya wiki sita". Hata vikao vingi nilivyofanya na Wabongo wahandisi, wengi niliwaona wakitumia maneno mengi ya Kingereza kwa kukosa tafsiri ya Kiswahili. Minutes, user manuals/guides, sheria na stakabadhi nyingi Tanzania zimeandikwa kwa Kingereza.
Unapolinganisha Kiswahili na lugha zilizostawi kama kifaransa unakosea. Elewa kuwa Mfaransa, Mchina nk anaweza somea fani yake yote kama udaktari, uhandisi, urubani nk bila kutumia neno hata moja la Kingereza. Kiswahili bado hakijafikia kiwango hicho. Wadau waliopewa jukumu la kukiimarisha wamezembea tuu na kula hela.
Niliona Bongo eti Kingereza kinafundishwa kuanzia shule ya upili, jameni lugha huwa rahisi kuelewa ukiwa mdogo, hii inawafanya kaka zetu Wabongo kukosa kujiamini wanapojipata katika vikao vya kimataifa.

Mdau jipange kwanza kwani title na kiini ni tofauti kma magazeti ya bongo......
Ila wabongo tumekosa uzalendo ktk kukuza na kuendeleza lugha maana haiwezikan lugha rasmi iwe kiswahili lkn kuna baadhi ya mafaili yameandikwa kwa kiingereza.....:what:😀😀😀😀
 
...British people colonized us and thus we ended up adopting most of their constioltution, which has english as a national language enshrined in it...
Hizi fikra bado zinatutawala hata baada ya miaka hamsini ya uhuru?
 
Nakubaliana ba wewe.100% kiswahili hakijiyoshelzi ndio maana wachina na wajerumani na hata wafaransa wanaweza kutumia lugha zao wenyewe kwenye mashule yao na mpaka machuoni ndio maana wana uwezo wa hali ya juu ... Bongo watu wanashindwa kufanya vizuri secondary kwa kuwa hawajui kiingereza vizuri .. Unakuta form one hawezi kuandika sentesi iliyo kamili.... Kama ulivyo sema watoto wengi wa shule za msingi wangefundishwa kwa kiingereza ingekuwa ni mteremko kwao kuingia form 1

Nakubaliana na nyinyi
 
Lugha ya taifa ya Kenya ni kiishwahili ila hata kiingereza kinatambulika kama lugha rasmi kwao ndo maana hata bunge lao linaendeshwa kwa kiingereza. Wao wako strategic sana hawawezi kutelekeza kiingereza kwa kiswahili kama sisi. Sasa hivi watu hawajui kiingereza na kiiswahili. Shame!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom