Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,104
- 5,659
Kiswahili lugha ya Waswahili. Kiingereza lugha ya Waingereza.
Waswahili ni akina nani na Waingereza ni akina nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiswahili lugha ya Waswahili. Kiingereza lugha ya Waingereza.
Nakubaliana ba wewe.100% kiswahili hakijiyoshelzi ndio maana wachina na wajerumani na hata wafaransa wanaweza kutumia lugha zao wenyewe kwenye mashule yao na mpaka machuoni ndio maana wana uwezo wa hali ya juu ... Bongo watu wanashindwa kufanya vizuri secondary kwa kuwa hawajui kiingereza vizuri .. Unakuta form one hawezi kuandika sentesi iliyo kamili.... Kama ulivyo sema watoto wengi wa shule za msingi wangefundishwa kwa kiingereza ingekuwa ni mteremko kwao kuingia form 1
Sasa mbona unaanza kuweweseka? Ni wapi nimesema ninalazimisha ulimwengu kufuata nyayo zangu?Hiyo ni kauli yako na huwezi lazimisha ulimwengu kufuata nyayo zako.
Acha uongo. Huoni aibu?...elites wengi tokea Tanzania kimya kimya wamewajaza watoto wao shule za private academies Nairobi zinazofundisha kwa lugha za kingereza, Kijerumani na Kifaransa...
"Mr. One liner" skliza, utaona uongo kwa ajili umejifungia mitaa ya Uswahilini hutoki.Acha uongo. Huoni aibu?
Huna lolote. Hujui ninapoishi. Wewe endelea kujidharau!"Mr. One liner" skliza, utaona uongo kwa ajili umejifungia mitaa ya Uswahilini hutoki.
Huna lolote. Hujui ninapoishi. Wewe endelea kujidharau!
Utachoka kubishana na huyo guchiii,yeye atuambie lugha yao ni ipi sisi ni Kiswahili,
Kiingereza ni lugha ya watu tena ya kikoloni mbona anapenda kuringia kitu ambacho sio chake wanishangaza kweli ni sawa na kusema mtoto wangu sio mzuri na kuchukua wa jirani umlee na kumuacha wako
Atuambie Kenya lugha mama yao ni ipi!!!
Asante. Huyu jamaa bado ana mawazo duni!Utachoka kubishana na huyo guchiii,yeye atuambie lugha yao ni ipi sisi ni Kiswahili,
Kiingereza ni lugha ya watu tena ya kikoloni mbona anapenda kuringia kitu ambacho sio chake wanishangaza kweli ni sawa na kusema mtoto wangu sio mzuri na kuchukua wa jirani umlee na kumuacha wako
Atuambie Kenya lugha mama yao ni ipi!!!
White Widow, Sory...White girl we have more than 42 native languages (lugha ya mama) . Kiswahili ndo hutuunganisha kama taifa. Kiingereza hutuunganisha na dunia. Simple and clear, isn't it?
Sasa naona tuko pamoja...haha!Tanzania tuna makabilaa mengi kuzidi nyinyi au hujui we vibration
Tuna makabila 126 nyie 42 tu aaaaaarrrrgggggggghhhh
White Widow, Sory...White girl we have more than 42 native languages (lugha ya mama) . Kiswahili ndo hutuunganisha kama taifa. Kiingereza hutuunganisha na dunia. Simple and clear, isn't it?
Lugha yenu ya taifa ni ipi sasa?
Hapo umeniweka black out.Loshindo lya ng'wanoko nyandebe otena masalaaaaa obhebhe
Yote mbili bro. Depending on convenience.
Hapo umeniweka black out.
Eeee oledakage lolo niwelagee nakowelee haliiii
Inferiority complex, I get it. It happens all the time.
i think it's was mwigulu nchemba who wrote this.