Hivi wakenya lugha yao kiswahili au kiingereza?

Hivi wakenya lugha yao kiswahili au kiingereza?

Status
Not open for further replies.
Jaribu kusahihisa hiyo sentensi. Kiingereza chenyewe taabu, hata hii lugha nayo inakupa shida? Nilishakuambia, usjifanye mjuaji sana!
Sasa mbona umetorokea Uswahilini tena, nilikuambia utanichoka mie. Tangia chekechea hadi vyuoni sisi huwa tunatumia lugha nyingi, za kimataifa na hata za asilia, huwezi pimana nguvu na mimi wewe mwenye umezoea lugha moja tangu utotoni hadi mtu mzima. Tembea uone mengi ili ufunguke akili.
 
Sasa mbona umetorokea Uswahilini tena, nilikuambia utanichoka mie. Tangia chekechea hadi vyuoni sisi huwa tunatumia lugha nyingi, za kimataifa na hata za asilia, huwezi pimana nguvu na mimi wewe mwenye umezoea lugha moja tangu utotoni hadi mtu mzima. Tembea uone mengi ili ufunguke akili.

Una fedha wewe au unaongea ongea utakula hizo lugha zako
Wahi nyumbani utatandikwa mno na mkeo ukichelewa
 
Sasa mbona umetorokea Uswahilini tena, nilikuambia utanichoka mie. Tangia chekechea hadi vyuoni sisi huwa tunatumia lugha nyingi, za kimataifa na hata za asilia, huwezi pimana nguvu na mimi wewe mwenye umezoea lugha moja tangu utotoni hadi mtu mzima. Tembea uone mengi ili ufunguke akili.
Har sagt til deg, du må først rette opp feilet som du har gjørt i den setningen. Er det så vanskelig?
 
Har sagt til deg, du må først rette opp feilet som du har gjørt i den setningen. Er det så vanskelig?
Jeg har ikke gjort noen feil, kan du gå til en videregående skole utenfor Swahili land. Går du få en norsk til å hjelpe deg å forstå meg. Du er ikke fra mitt kaliber
 
Una fedha wewe au unaongea ongea utakula hizo lugha zako
Wahi nyumbani utatandikwa mno na mkeo ukichelewa
Uwezo wetu wa kuongea lugha nyingi ndio umefanya tumeendelea kiuchumi kuliko mataifa yote ya EAC.
 
Jeg har ikke gjort noen feil, kan du gå til en videregående skole utenfor Swahili land. Går du få en norsk til å hjelpe deg å forstå meg. Du er ikke fra mitt kaliber
Unazidi kujichanganya zaidi na kuonekana una akili ndogo. Sahihisha hiyo lugha kijana!
 
du kan fortsatt høres patetisk, må du lære utover enkle setninger og snakke språket mer flytende. Tren mer og mer, vil du klare å komme utenfor uswahilini gettoer.

hiyo kali. Ni kinordic au!!!
 
Jeg har ikke gjort noen feil, kan du gå til en videregående skole utenfor Swahili land. Går du få en norsk til å hjelpe deg å forstå meg. Du er ikke fra mitt kaliber

uyo f@la ameshindwa na hii, niko sure saa hii ang'ang'ana sana kutafuta kwa google translator. Haha! Uko juu mtu yangu.
 
Unazidi kujichanganya zaidi na kuonekana una akili ndogo. Sahihisha hiyo lugha kijana!
Nimekushtukia, kumbe huelewei chochote, rudi kwenye mabanda ya uswahilini unywe kahawa, huwezani nami.
 
Wewe huna lolote. Huo uchumi watu wa huko Turkana na Marsabit wanaujua?
Uchumi huwezi nawiri nchi yote kwa mpigo mmoja, hata nchi za ughaibuni kuna sehemu bado taratibu, ila katiba yetu mpya nzuri kuliko nyingi Afrika sasa imewezesha mikakati mipya itakayo rahisisha ukuaji wa uchumi nchi yote na kwa kasi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom