Hivi wakenya lugha yao kiswahili au kiingereza?

Hivi wakenya lugha yao kiswahili au kiingereza?

Status
Not open for further replies.
Wengi nyie manafiki tu, elites wengi tokea Tanzania kimya kimya wamewajaza watoto wao shule za private academies Nairobi zinazofundisha kwa lugha za kingereza, Kijerumani na Kifaransa. Huku wakiwandaganya walalahoi bongo wazidi kukomaa na Kiswahili eti ni uzalendo. Nafasi nyingi za kazi bongo ukiangalia kwenye mtandao huwa na maandishi kama haya "must be fluent both in English and Swahili". Tangu lini mtu akawa na ufasaha wa lugha bila kuitumia. Wacheni unafiki na muanze kuwahimiza watoto wenyu wajifunze lugha zaidi ya Kiswahili, wajifunze Kijerumani, Kingereza, Kihispania, Kichina nk dunia ya sasa ina ushindani mkubwa na bila uwezo huo basi mutabaki nyuma.
Hata Wajapani, Wachina nk wako mbioni kujifunza Kiswahili na Kingereza.

nashukuru kwakuwa wewe umeligundua tatizo.kumbe wapo wanafki...hilo ni jambo jema wewe umetambua na mimi nimejuzwa na utambuzi wako.turudi kwenye ukweli kati ya wanafk na sisi wapi ni wenye moyo wa mabadiliko jibu ni sisi walalahoi sio....pengine hatuyaishi maneno ya wahenga "penye wengi pana........."najua jibu walifahamu kwakuwa wakipenda kiswahili.chamsingi si kuwalalamikia wanafki bali kuwaonyesha kuwa kiswahili ni bora kuliko wadhanivyo iwapo Mimi na wewe tutahakikisha kuwa tunaikuza lugha ya kiswahil hakika iko siku kabla ya nywele zako kubadilka rangi(samahani kama tayar zimefikia hatua hiyo) utakaa na kuipongeza kazi ya mikono na akili yako.mwalimu wangu aliniambia kuwa lugha ni kitu hai inakua,inajongea pia inaweza kufa...............naishia hapa
 
,Nimemuangalia sasa hivi kenyatta anahutubia wakenya nimeshangaa anatumia kiingereza.Wakati huohuo hollande anahutubia UN kwa lugha yake kifaransa.Hivi Waafrika ni ushamba au ujinga?
Naomba jibu
Nimemuangalia sasa hivi rais Kikwete anahutubia Waafrika kwa lugha ya kiingereza Afrika Kusini nimeshangaa anatumia kiingereza.Hivi Waafrika ni ushamba au ujinga?
Naomba jibu............kaka nimecopy paste neno kwa neno, muache unafiki na kuelewa umuhimu wa lugha ni kueleweka sio ushindanyi wa kijinga.
 
,Nimemuangalia sasa hivi
kenyatta anahutubia wakenya
nimeshangaa anatumia
kiingereza.Wakati huohuo hollande anahutubia UN kwa
lugha yake kifaransa.Hivi
Waafrika ni ushamba au
ujinga?
Naomba jibu



Mimi ni Mkenya.Sisi hutumia lugha zote mbili.Curriculum tangia shule ya msingi na utaratibu wake ni kuwa masomo yote ni ktk lugha ya Kiingereza isipokuwa Kiswahili.Kw hiyo 2melelewa ktk mazingira ya kutumia either English or Swahili.

Back to the subject at hand,During the Memorial Service for Mandela some days back,I saw Chinese VP address the public in Chinese.Same with Brazilian Lady President,there was an interpreter for her.

But coming 2 2day's Burial,I didn't see anyone interpret for President Jakaya Kikwete.Why??

English is used 2 communicate with the outside world.My two cents.
 
...English is used 2 communicate with the outside world.My two cents.
Sawa lakini wakenya mlivyo washamba mnataka kuzungumza kiingereza baina yenu na kujidai eti mnajua kiingereza zaidi ya watz. Hapo ndio kuna tatizo, si vingine!
 
Sawa lakini wakenya mlivyo washamba mnataka kuzungumza kiingereza baina yenu na kujidai eti mnajua kiingereza zaidi ya watz. Hapo ndio kuna tatizo, si vingine!
English is not only used to communicate to outside world, but it's a superior language than the pathetic Swahili. In my house we do use it a lot. Kama huo ni ushamba, basi nenda kajinyonge, kwa uwezo wa kutumia lugha nyingi kuna tufanya tunakua sophisticated, huo wivu wenyu utawaua.
 
Nimuonee wivu mtu anaejiona duni?
Sasa mbona uwezo wetu wa kutumia lugha nyingi unakukera kama huo sio wivu. Our work force is sophisticated due to this fact. Tunaongea lugha za kigeni kama Kiswahili, Kingereza, Kifaransa na hata lugha zetu za asilia, utatuchoka.
 
Sasa mbona uwezo wetu wa kutumia lugha nyingi unakukera kama huo sio wivu. Our work force is sophisticated due to this fact. Tunaongea lugha za kigeni kama Kiswahili, Kingereza, Kifaransa na hata lugha zetu za asilia, utatuchoka.
Ninafahamu lugha zaidi ya hicho kiingereza unachokisujudu. Usijifanye mjuaji sana!
 
Hva er det du egentlig snakker om?
Du kan fortsatt høres patetisk, må du lære utover enkle setninger og snakke språket mer flytende. Tren mer og mer, vil du klare å komme utenfor Uswahilini gettoer.
 
Du kan fortsatt høres patetisk, må du lære utover enkle setninger og snakke språket mer flytende. Tren mer og mer, vil du klare å komme utenfor Uswahilini gettoer.
Jaribu kusahihisa hiyo sentensi. Kiingereza chenyewe taabu, hata hii lugha nayo inakupa shida? Nilishakuambia, usjifanye mjuaji sana!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom